Jumakidogo
R I P
- Jul 16, 2009
- 1,851
- 417
Kuna haja ya kufuatilia haraka na kupata uhakika. Kama ni kweli, hiyo ni kazi ya mungu. Sote tuko njia moja. R.I.P Regia. Ni juzi tu tulikuwa tunauchangamkia uzi wako bomba. Hili ni pengo kubwa sana kwa watanzania wote. Pumzika kwa amani mama.