Kauzu ni niniYaani JF yote pamoja na reach yake hakuna mwanachama hata mmoja anayejua kupika kauzu kavu? Don't let me don please!!!
Kauzu wa Kigoma wanapikwa kwa mafuta ya mawese, kitunguu, nyanya chungu na ndimu.Natafuta Recipe nzuri ya kupika kauzu wa Kigoma; wenye kujua mapishi ya kauzu nisaidieni.
Sijawahi kuzinakili namba zao.Unaweza kunipa namba zao niwapigiea?
Ukipata namba ya mmoja wao nitumie haraka sana kwenye pm, nitawapigia. Ninaishi nje ya nchi na majuzi nilipata begi moja la kauzu kutoka Kigoma na natamani sana kuwala ile sijui jinsi ya kuwapika ili niwale.Sijawahi kuzinakili namba zao.
Poa.Ukipata namba ya mmoja wao nitumie haraka sana kwenye pm, nitawapigia. Ninaishi nje ya nchi na majuzi nilipata begi moja la kauzu kutoka Kigoma na natamani sana kuwala ile sijui jinsi ya kuwapika ili niwale.
Loweka dagaa kwa saa moja na uwaoshe kutoa mchanga. Weka mafua jikoni yakipata moto kaanga vitunguu, vikiwa tayari weka dagaa, malizia na nyanya chungu, ndimu na chumvi.Umeanza, sasa nipe ukweli wote. Mawese, vitunguu, nyanya chungu na ndimu nitapata tu, wewe nipe ufundi wa kuvichanganya.
Ni rahisi namna hiyo? basi Poa, nitakutumia kadi ya dinner siku mbili zijazo.Loweka dagaa kwa saa moja na uwaoshe kutoa mchanga. Weka mafua jikoni yakipata moto kaanga vitunguu, vikiwa tayari weka dagaa, malizia na nyanya chungu, ndimu na chumvi.
Unaweza kutumia mafuta yeyote lakini dagaa wa Kigoma na mafuta ya mawese ni kama dera livaliwe na mwenye kalio kubwa.Ngoja nikuulize swali kidogo; je nisipopata mafuta ya mawese naweza kutumia mafuta ya nazi au ya mzeituni?