Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,226
- 26,048
- Thread starter
- #41
Nilivyosema kuanzia 2025 tutaanza kuona maendeleo makubwa kutokana na programs uliekewaje?Wacha hasira, hiyo ni alert tu umepewa, punguza kusifia kama mlevi hata kabla matunda ya unachokisifia hayajaonekana, mambo ya uchumi sio issue ya usiku mmoja.
2025 ni usiku mmoja?