Mimi ni fan wa real madrid, ila bado naamini hata hiyo game ya tarehe 11 tunapigwa tena26 April Copa del rey final
Barcelona vs Real Madrid
11 May Laliga
Barcelona vs Real Madrid
Hizi game zote madrid tunapigwa
Msimu huu nyinyi Madrid tunawapiga kila tutakapocheza.Mimi ni fan wa real madrid, ila bado naamini hata hiyo game ya tarehe 11 tunapigwa tena
Uyo faza huwa nina wasiwas anamajini kichwaniHatari kweli, yani litimu linawachezaji wasandawe. Wanarusha mawe uwanjani, kichaa mwingine wa kimatumbi anaitwa rudiger
Full malalamiko kwa marefa.Mlivyoanza janja janja tu ya kutaka kususia mechi nikajua tu mnaenda kufa
wanajisahaulisha kuwa Cortuois alidaka mpira wa Lamine Yamal ndani ya nyavu alafu wakajikausha kimyaaaaa. Xavi wetu aliishia kulalama tuFull malalamiko kwa marefa.
Eti walikuuwa wanataka refa wa mchezo abadilishwe hawana imani nae.
Msimu ulioisha wakati Xavi analalamikia marefa wao wanashinda makombe kocha wao Don Carlo alijifanya so professional akidai kulaumu marefa ni kuishusha hadhi la liga na spanish football kwa ujumla.
View attachment 3317138
Kabisa.wanajisahaulisha kuwa Cortuois alidaka mpira wa Lamine Yamal ndani ya nyavu alafu wakajikausha kimyaaaaa. Xavi wetu aliishia kulalama tu
Jamaa wanaweza kucheza lakini inaonekana huyu Babu huwa anawadekeza, ngoja apatikane kocha kichaa, watacheza tu wajinga hawa
Hii timu washabiki wake walikuwa na matarajio makubwa kuliko uwezo wa timu.Hahahahahaha ila sasa Ballon D'or inamtaka mbappe by default
Asante Jude...Opener.timu ilicheza vizuri sana,individual mistakes ndio zilitukost. Rudigar na kipa waligawa goli la pili, la tatu Brahim. nafasi za wazi nazo tulipoteza.
Nilikwambia kijana kombe pekee mtakalochukua msimu huu labda kombe la uji.Ngoja amalize msimu bhna achukue hata kombe moja tumuage kwa heshima
Na mnayo kweli.This is not entertainment but torture rather. Timu Haina game plan. Barca, arsenal kazi tunayo.
Kuna wachezaji ni wazuri lkn hawana bahati, ukiwa nao kwenye team ni msiba. Mbape anaonekana hana bahati. Hapa nyumbani Feitoto na Chama hawana bahati na makombe ya CAF.Hii timu washabiki wake walikuwa na matarajio makubwa kuliko uwezo wa timu.
Watu walikuwa wanawaza Ballon D'or!