hydroxo
JF-Expert Member
- Oct 19, 2015
- 5,478
- 12,037
PSG wakichukua Mbappe atajiona ni mtu mwenye mkosi kuliko wote.PSG akichukua sijui watatuambia nini hawa 😃😃
PSG wakichukua Mbappe atajiona ni mtu mwenye mkosi kuliko wote.PSG akichukua sijui watatuambia nini hawa 😃😃
Mi nilijenga imani kwenu barcetoto ila mumeniangusha sana.Mim ni shabiki WA Barcelona lakini natamani inter wachukue ili Bayern wajisikie vibaya kumuuza sommer
Hivi mechi tujitahidi tufute uteja, HALLA MADRID.#Team Madrid hakuna kukubali unyonge mpaka kieleweke
Leo tunakula 5 hapa,timu hata inachocheza hakijulikani...wachezaji wamekuja kutalii,very slow..tukipigwa chini ya 5 leo tumeshinda.
Mkuu ilibakia kidogo mfungwe ila goli la 5 limekataliwaLeo tunakula 5 hapa,timu hata inachocheza hakijulikani...wachezaji wamekuja kutalii,very slow..tukipigwa chini ya 5 leo tumeshinda.
Even Steve Wonder saw that coming. I'm not bothered kabisa. Kocha na players Karibu wote hawapo at RM level anymore hata Alonso hawezi fanya kitu kwa players Hawa Hawa inabidi kuuza Karibu wote na kununua wengine.
mumeanza kulalamikia wachezaji? nilijua tatizo ni kocha
Labda UEFA ya mashindano ya kuku pale tegeta kwa ndevu.Kwenye football kila game ni tofauti sana lakini ninachojua mimi Real Madrid ndio watachukua Uefa Champions league msimu huu
Nakubali mpo kwenye nafasi nzuri kwenye makombe matatu.Bado tuko kwenye mbio na nafasi nzuri za makombe yote matatu. In short we feel good