Cesar Caspar
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 3,703
- 6,360
Kuna ile bicycle kick moja ameipiga akakosa, nilishanyanyuka kushangilia, noma sana.Gool Endrick 1-1 dogo ana zali huyu... yametimia niliyoyatabiri ya Gg bado kutoboa sasa.
Kuna ile bicycle kick moja ameipiga akakosa, nilishanyanyuka kushangilia, noma sana.Gool Endrick 1-1 dogo ana zali huyu... yametimia niliyoyatabiri ya Gg bado kutoboa sasa.
Ilikua tuondoke.Kuna ile bicycle kick moja ameipiga akakosa, nilishanyanyuka kushangilia, noma sana.
Ngoja amalize msimu bhna achukue hata kombe moja tumuage kwa heshimaCarlo timu imemshinda kila match tunashinda kimachale machale kama underground team. Hakuna consistency wala convincing victories.
Ngoja amalize msimu bhna achukue hata kombe moja tumuage kwa heshima
Harafu kocha anamuangalia tu, anashindwa kujiongeza kumtoa. Tchou arudi nyumaAlaba anawasaidia tu Sociedad kufunga maninaa
Tumetoka mbali nae mzee acha tumvumilie miezi mi 4 iliyobaki, mzee kapambana sana uwezo wake umeishia hapo.This is not entertainment. Kila match tunajichimbia shimo then dig ourselves out of it That's unacceptable. Carlo aachie timu. Kwa timu nzuri hatuwezi rudisha tutapigwa kama ngoma
Imekua rede sasa, 3-4
Tunamtoa huyu kocha ana faida ya sub nyingi hajafsnya.Tutoke Leo kuliko kuchezea nyingi final.
Hii game bana., kama jamaa wameamua kukaza, ninadhani wanataka tuende matuta, ama wana lao jambo half ya pili.,