Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Hii timu UNGA UNGA sana Aiseee Leo pengo la mbape limeonekana wazi kabisa mbape Huwa anaibeba sana timu ingawa ni UNGA unga
 
  • Kicheko
Reactions: Lax
Kama unaangalia hii game utakubaliana na mimi kwa hakika kabisa Babu Carlo atuachie timu yetu,unaangalia huoni timu inatumia mbinu gani katika kushambulia na kuzuia,yaan wachezaji wanajiendea tu.

munapenda kulalamika kwa kila kitu, timu jana imechaza vizuri tu.
 
Kenge nyie safi sana mmepigwa nawachukia mno. Naichukia Real Madrid akitoka shetani na ccm mnafata nyie kwa kuwachukia kenge wakubwa nyie mnataka ushindi mnamleta Kendrick 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kasongo tumekupasua, ila naomba radhi kwa kumtusi Tchouameni jamaa kadisplay umadridista ule wa zama za akina ramos
 
Leo vijana wamepambana sana,tutarudi msimu ujao tukiwa imara zaidi,hala madrid
Jamaa wanaweza kucheza lakini inaonekana huyu Babu huwa anawadekeza, ngoja apatikane kocha kichaa, watacheza tu wajinga hawa
 
Back
Top Bottom