Ndombe Mubele
JF-Expert Member
- May 19, 2019
- 255
- 550
Hii timu UNGA UNGA sana Aiseee Leo pengo la mbape limeonekana wazi kabisa mbape Huwa anaibeba sana timu ingawa ni UNGA unga
Kama unaangalia hii game utakubaliana na mimi kwa hakika kabisa Babu Carlo atuachie timu yetu,unaangalia huoni timu inatumia mbinu gani katika kushambulia na kuzuia,yaan wachezaji wanajiendea tu.
Anapoteza mpira badala ya kufanya maamuzi ya haraka kukaba anajishika kichwa, Goli tulilofungwa limetokea kwenye pasi aliyoipoteza?Madrid sahivi naenjoy kumtazama Bellingham
Mistake zipo kaka, mcheck Vini anavyolalamika akishikwa tuAnapoteza mpira badala ya kufanya maamuzi ya haraka kukaba anajishika kichwa, Goli tulilofungwa limetokea kwenye pasi aliyoipoteza?
Halafu kwani lazima amalize 90minsMadrid sahivi naenjoy kumtazama Bellingham
ngapi uko?Halafu kwani lazima amalize 90mins
Jamaa wanaweza kucheza lakini inaonekana huyu Babu huwa anawadekeza, ngoja apatikane kocha kichaa, watacheza tu wajinga hawaLeo vijana wamepambana sana,tutarudi msimu ujao tukiwa imara zaidi,hala madrid
😂😂😂 Sawa na Mwakani tutawakanda ngoja tuKenge nyie safi sana mmepigwa nawachukia mno. Naichukia Real Madrid akitoka shetani na ccm mnafata nyie kwa kuwachukia kenge wakubwa nyie mnataka ushindi mnamleta Kendrick 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mbona weoKasongo tumekupasua, ila naomba radhi kwa kumtusi Tchouameni jamaa kadisplay umadridista ule wa zama za akina ramos
Yule leo katumikia jezi nyeupe, japo naye hayupo kwenye form tuliyoitegemeaKasongo tumekupasua, ila naomba radhi kwa kumtusi Tchouameni jamaa kadisplay umadridista ule wa zama za akina ramos
Huyo ndo hamna alichofanyaMistake zipo kaka, mcheck Vini anavyolalamika akishikwa tu