adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 15,481
- 33,524
Mvaa Kobazi umesaema ukweli mfano halisi vibanda umiza hapa bongo uweke Ac milan Vs Gerona Saa 2 usiku halafu baadae Arsenal na Hull city ,mechi ya kwanza pamoja na kuwa na advantage ya muda mzuri lakini inaweza ikawa bure na uhakika kuwa na mahudhirio machache .
Mfano kama huo unakuja hata kwa Barcelona au Real Madrid wakicheza na timu ndogo mashabiki ni wachache kucompare na timu za uingereza na hilo halipingwi isipokuwa ubishi tu.
Mfano kama huo unakuja hata kwa Barcelona au Real Madrid wakicheza na timu ndogo mashabiki ni wachache kucompare na timu za uingereza na hilo halipingwi isipokuwa ubishi tu.