Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Don Carlo abaki tufanye usajiri wa baadhi ya maeneo , striker backup ya Benzema, RB, LB, na number 10
Kwa muda sasa unajua tumekosa mtu sampuli ya Ozil,yaan namba kumi ambayo inaweza kutoa pasi mchomoko foward akabaki na kipa,yaan zile pass zakupasua ngome ya adui,tunatumia winga sana.


Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
 
Sasa anacomplain kwamba washabiki wa Valencia walikuwa wanamfanyia sana swala la ubaguzi wa rangi,kwa hiyo hawezi tena kuendelea kucheza(amesusa),..japokuwa ni kwel amebaguliwa lakini yeye siyo wa kwanza na wala hawezi kuwa wa mwisho,issue ya ubaguzi ipo na yeye ni anatakiwa awafunge mdomo uwanjani...huyu bwana mdogo anatakiwa ajue kuwa mchezaji bora kiwango cha dunia cha juu kabisa siyo kazi rahisi..

Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app

huyo dogo ni mtu wa ovyo tu, akitekenywa kidogo tu anatekenyeka, na mashabiki wameshamjuulia. Dram Queen
 
Inasemekana ile red card aliyopewa Vini imefutwa..

Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app

ni upuuzi, amevunja kanuni za uwanjani alitakiwa aadhibiwe, Mchezaji unatikiwa uwe profesional unapokuwa uwanjani, sio kupanic na kufanya mambo ya kipuuzi. kwa walichokifanya maana yake wanamwambia na kishe kafanye tena kuliko lile haitatokezea kitu.
 
Tchouameni anatosha kwa hapo.
Tchou anatosha sana upande wa CDM ila anatatizo moja tuu jamaa kukaba anaweza shida ni kudeliver sasa madrid inataka CDM ambaye kukaba anajua yaan kuforn shield vile vile madrid inataka CDM ambaye ikifika saa ya mashambulizi ana build up haraka kwenye kushambulia. Camavinga is the best kwenye vyote viwili kule LB apatikane mtu ili CAMAVINGA akae sehemu yake Tchou atatumika kwenye rotation.
Next season we will conquer all European giants like last season.
HALLA MADRID
 
Tchou anatosha sana upande wa CDM ila anatatizo moja tuu jamaa kukaba anaweza shida ni kudeliver sasa madrid inataka CDM ambaye kukaba anajua yaan kuforn shield vile vile madrid inataka CDM ambaye ikifika saa ya mashambulizi ana build up haraka kwenye kushambulia. Camavinga is the best kwenye vyote viwili kule LB apatikane mtu ili CAMAVINGA akae sehemu yake Tchou atatumika kwenye rotation.
Next season we will conquer all European giants like last season.
HALLA MADRID

Tchou ni best Option kwa CDM. Huwezi kabisa kulinganisha umakini wa Camavinga na Tchou kwenye hiyo position, Tchou anacheza kwa umakini wa hali ya juu sana.
Tatizo kubwa pale ni Kroos, amezeeka kwa kweli na ndio anakuwa mzigo kwa wengine.
 
Back
Top Bottom