Herzog
JF-Expert Member
- Jul 26, 2022
- 4,129
- 4,859
Hii timu huenda ni mashabiki wa arsenal ambao wanatafuta pa kuonjea ladha ya uefa ndio wakaamua kuja kujificha humu.Madrid Haina mashabiki bongo bana ,hawa ni mamruki wanaojitokeza kipind cha UEFA ,baada yapo yanarudi kwenye team zao
Nan anapoteza muda kuangalia la Liga ,mambo mengine unacheka tu![]()


