Team haliwezi hata kupossess mpira ,et kuvizia counter attack ...
Carlo anabebwa na bahati tu ,last season amshukuru Mungu wake ...
Pep >>>>>Carlo
Haya rudini kwenye team zenu vibwengo nyie![]()
Bahati bingwa mara 4? wakati huyo Pep ndio kwanza anaitafuta ya tatu. Pumbav kabisa
