Murashani GALACTICO
JF-Expert Member
- Feb 27, 2012
- 2,516
- 5,418
Mkumbushe tuu anapokuwepo PEP kama cocha wa club hata timu ya taifa alipo hiyo club mfumo wa uchezaji wake hubadilika. Alipo kuwa Buyern soka Dutchland likaanza kucheza tik tak. Leo hii ENGLISH NATIONAL TEAM ni timu shindani ikicheza INTERNATIONAL CUPS huku ikiwa na uchezaji wa pasi nyingi.Waambie hata PEP ni muispaniola mkatalunya ulipozaliwa mpira.
Aliifanya Barca kuwa timu tishio.Ilicheza mpira ambao wenye akili timamu wote tunakubaliana hakuna timu yoyote duniani itaucheza.
Mwambie pia Mancity imeigeuza EPL kuwa farmers league kwa sababu ya falsasa za Guardiola kuamini katika possesion football kinyume kabisa ma matimu ya uingereza yasiyojua mpira.
Umeona mpira anaoucheza Guardiola?
Anawatesa sana lakini bado wanaona Uingerza kuna mpira kuliko Spain.
, hakuna tena cha kubishania