Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Waambie hata PEP ni muispaniola mkatalunya ulipozaliwa mpira.

Aliifanya Barca kuwa timu tishio.Ilicheza mpira ambao wenye akili timamu wote tunakubaliana hakuna timu yoyote duniani itaucheza.

Mwambie pia Mancity imeigeuza EPL kuwa farmers league kwa sababu ya falsasa za Guardiola kuamini katika possesion football kinyume kabisa ma matimu ya uingereza yasiyojua mpira.

Umeona mpira anaoucheza Guardiola?

Anawatesa sana lakini bado wanaona Uingerza kuna mpira kuliko Spain.
Mkumbushe tuu anapokuwepo PEP kama cocha wa club hata timu ya taifa alipo hiyo club mfumo wa uchezaji wake hubadilika. Alipo kuwa Buyern soka Dutchland likaanza kucheza tik tak. Leo hii ENGLISH NATIONAL TEAM ni timu shindani ikicheza INTERNATIONAL CUPS huku ikiwa na uchezaji wa pasi nyingi.
 
Waambie hata PEP ni muispaniola mkatalunya ulipozaliwa mpira.

Aliifanya Barca kuwa timu tishio.Ilicheza mpira ambao wenye akili timamu wote tunakubaliana hakuna timu yoyote duniani itaucheza.

Mwambie pia Mancity imeigeuza EPL kuwa farmers league kwa sababu ya falsasa za Guardiola kuamini katika possesion football kinyume kabisa ma matimu ya uingereza yasiyojua mpira.

Umeona mpira anaoucheza Guardiola?

Anawatesa sana lakini bado wanaona Uingerza kuna mpira kuliko Spain.
Kila zama na kitabu chake.
 
Waambie hata PEP ni muispaniola mkatalunya ulipozaliwa mpira.

Aliifanya Barca kuwa timu tishio.Ilicheza mpira ambao wenye akili timamu wote tunakubaliana hakuna timu yoyote duniani itaucheza.

Mwambie pia Mancity imeigeuza EPL kuwa farmers league kwa sababu ya falsasa za Guardiola kuamini katika possesion football kinyume kabisa ma matimu ya uingereza yasiyojua mpira.

Umeona mpira anaoucheza Guardiola?

Anawatesa sana lakini bado wanaona Uingerza kuna mpira kuliko Spain.
Msingi wa hoja yangu haupo kwenye ubora wa La Liga vs EPL. Msingi ni kwamba mashabiki wengi wanashabikia Barca/Madrid kama second option ya kufata glory ya UEFA.
 
Mimi nawashangaa waulize wenyewe walianzaje kushabikia timu wanazoshabikia. Wenyewe sawa ila sisi kushabikia City wana-raise hoja mfu
Inashangaza sana mkuu, me huwa najiuliza, mpaka mtu kuwa shabiki wa liverpool,madrid, man utd, milan, walianzaje kwani wao?

Yani mtu kwenye udogo wake miaka ya 2000-2003 kaipenda arsenal au man utd lakini anakuja kumshangaa mtu ambaye kwenye udogo wake miaka ya 2009-2012 kaipenda man city.
 
Inashangaza sana mkuu, me huwa najiuliza, mpaka mtu kuwa shabiki wa liverpool,madrid, man utd, milan, walianzaje kwani wao?

Yani mtu kwenye udogo wake miaka ya 2000-2003 kaipenda arsenal au man utd lakini anakuja kumshangaa mtu ambaye kwenye udogo wake miaka ya 2009-2012 kaipenda man city.
Inashangaza sana mkuu
 
Msingi wa hoja yangu haupo kwenye ubora wa La Liga vs EPL. Msingi ni kwamba mashabiki wengi wanashabikia Barca/Madrid kama second option ya kufata glory ya UEFA.
Fallacy of generalization.

Mimi ni shabiki wa La liga na timu yangu ni barca.

Nimeanza kushabikia la liga 2001 mpaka leo sina timu EPL na sina mpango wa kuwa nayo.
 
Kwa waliozaliwa 2000's ni sahihi unachosema. Sababu ule msimu wa 2010-2011 ambao City alichukua Epl dakika ya mwisho kwa goli la kihistoria la Aguero vs QPR ni mwaka ambao waliozaliwa 2000's ni kama ndo walianza kua na ufahamu wa mpira
Sasa hoja ya kusema mashabiki wote wa city ni glory hunters haina mashiko, sababu kama ambavyo wewe umeipenda milan toka udogo wako, basi kuna ambao wameipenda city toka udogo wao sababu ndio wamekua kwenye era ambayo City is the big dog kama ilivyokuwa milan kipindi hicho.

NB; Nakubali pia kuna walio hamia.
 
Inashangaza sana mkuu, me huwa najiuliza, mpaka mtu kuwa shabiki wa liverpool,madrid, man utd, milan, walianzaje kwani wao?

Yani mtu kwenye udogo wake miaka ya 2000-2003 kaipenda arsenal au man utd lakini anakuja kumshangaa mtu ambaye kwenye udogo wake miaka ya 2009-2012 kaipenda man city.
Kwa hiyo unataka niambia kumkuta mtu mzima wa 30's kuwa shibiki wa city huo ni ka upepo na kutafuta faraja tuu au sijakuelewa vizuri
 
True say..
Screenshot_20230518_092215_Twitter.jpg


Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
 
Sasa hoja ya kusema mashabiki wote wa city ni glory hunters haina mashiko, sababu kama ambavyo wewe umeipenda milan toka udogo wako, basi kuna ambao wameipenda city toka udogo wao sababu ndio wamekua kwenye era ambayo City is the big dog kama ilivyokuwa milan kipindi hicho.

NB; Nakubali pia kuna walio hamia.
Umekubali pia wapo walio hamia.
Umekubali pia kama yupo die hard fan wa city basi huyo ki umri ni mdogo.
Wewe ni mtu na nusu mkuu. Pokea maua yako
 
Fallacy of generalization.

Mimi ni shabiki wa La liga na timu yangu ni barca.

Nimeanza kushabikia la liga 2001 mpaka leo sina timu EPL na sina mpango wa kuwa nayo.
Safi mkuu. Mi chama langu ni Milan tangu nipate ufahamu wa mpira nikiwa mdogo, na kamwe sitawahi kushabikia timu Epl. Binafsi Epl naifuatilia sababu ya ligi za hela za Fantasy Premier league, ambazo huwa najiunga kila msimu
 
Sasa hoja ya kusema mashabiki wote wa city ni glory hunters haina mashiko, sababu kama ambavyo wewe umeipenda milan toka udogo wako, basi kuna ambao wameipenda city toka udogo wao sababu ndio wamekua kwenye era ambayo City is the big dog kama ilivyokuwa milan kipindi hicho.

NB; Nakubali pia kuna walio hamia.
Hawa jamaa wanajitekenya halafu wanacheka wenyewe
 
Sasa hoja ya kusema mashabiki wote wa city ni glory hunters haina mashiko, sababu kama ambavyo wewe umeipenda milan toka udogo wako, basi kuna ambao wameipenda city toka udogo wao sababu ndio wamekua kwenye era ambayo City is the big dog kama ilivyokuwa milan kipindi hicho.

NB; Nakubali pia kuna walio hamia.
Kwa hapo tumekubaliana mkuu, hakuna tena cha kubishania
 
Kwa hiyo unataka niambia kumkuta mtu mzima wa 30's kuwa shibiki wa city huo ni ka upepo na kutafuta faraja tuu au sijakuelewa vizuri
Ipo hivi.
Mtu ambaye yuko kwenye 30+ anashabikia city kuna mawili.

1. Amehama timu
2. Kama hakuhama basi alichelewa kushabikia mpira.

Sababu ni ngumu kusema mtu ambaye ameanza kufatilia mpira miaka ya 2002-2008 aliipenda city kipindi hicho, huo ni uongo, city haikuwa na mvuto wowote kipindi hicho.

Mashabiki wa city ambao ni original and die hard hawakuhama timu wapo, kwenye teenage na early 20's sababu kwa umri huo, wamekua katika kipindi ambacho city inafanya vizuri kama tu ilivyo kwa walioanza kushabikia man utd, arsenal kwenye miaka hiyo ambayo ndio zilikuwa zinafanya vizuri.

Sio kila shabiki wa city ni glory hunter.
 
Kwa hiyo unataka niambia kumkuta mtu mzima wa 30's kuwa shibiki wa city huo ni ka upepo na kutafuta faraja tuu au sijakuelewa vizuri
Mashabiki wa City wapo aina tatu
1. Wale waliozaliwa late 90s and early 2000s wakanza kufuatilia mpira wakati Sheikh Mansoor took over

2. Wale waliozihama timu zao wakati zinafanya vibaya kutafuta comfort.

3. Wale mashabiki wapya wa mpira. Hawa ni wale wameanza kufutalia mpira enzi hizi City anafanya vizuri (haijalishi umri wao)
 
Back
Top Bottom