Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,030
- 111,617
Piga punda weupe hao
Kuna chekecheke kubwa sana lakupitisha hapo,kuna wachezaji hawana viwango vyakuvaa jezi yetu..
Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app




mmewatesa nini mlikuwa na zali tuHeko Madristas
It’s over tujipange next season. Nafikiri bench letu sidhani kama litabaki hivi hivi. Tulikua na mentality ya kuogopa game so we deserve kupoteza
Kutesa kwa zamu kama wao tulivyowatesa msimu ulioisha ni vile pia wametutesa sie. Kikubwa tuko hai na salama
Tukutane kumaliza laliga




mmewatesa nini mlikuwa na zali tu
Tunajipanga vyema kwa msimu ujao..Heko Madristas
It’s over tujipange next season. Nafikiri bench letu sidhani kama litabaki hivi hivi. Tulikua na mentality ya kuogopa game so we deserve kupoteza
Kutesa kwa zamu kama wao tulivyowatesa msimu ulioisha ni vile pia wametutesa sie. Kikubwa tuko hai na salama
Tukutane kumaliza laliga
Team haliwezi hata kupossess mpira ,et kuvizia counter attack ...
Carlo anabebwa na bahati tu ,last season amshukuru Mungu wake ...
Pep >>>>>Carlo
Haya rudini kwenye team zenu vibwengo nyie![]()