Kumar Singh
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 1,027
- 2,316
Halafu hii nadharia ya kusema kuwa kila shabiki anayeshabikia CityBro una jilinganisha wwna watu wengine.
Back in days miaka ya 1998 kulikuwa na haya madish ya satelite makubwa kulikuwa na chanel nying aseee nilikuwa naifatilia madrid kupitia chanel za uarabuni from those days nimekuwa naifatilia madrid tangu zama izo. Kilichonifanya kuipenda ni kuwa na idadi kubwa ya Brazillian players.
Man city fans ambao wameijua man city alipokuja gurdiolla otherwise wameanza kuijua ni siku za mwisho za Pellegrin.
Man city ile ambayo ilikuwa inachakazwa hata na Middlesbrough 8 kwa 1 ni wachache walioko humu walifanikiwa kuiona.
Siku zote huwa naheshimu nikute kijana mdogo ni die hard fan wa
LIVERPOOL
AC MILLAN
INTER MILAN
ROMA
.
.
.
Na clubs kama izo nikiamini kabisa hizo clubs mtu atakuwa ameziona kwenye peak ya mafanikio tangu zamani.
Eti nikutane na shabiki wa cityzens hapa bongo leo itis obvious huyo anaukame somewhr kwenye club yake sasa anakuja kuupooza kwa city.
Yote tisa kumi jana city alikuwa bora sana tusingewezakufanya chochote.
basi amehamia kutoka timu "X" nayo pia mashiko. Baadhi wamehamia ila sio wote.
