Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,790
Usiku ulikuwa mnono kabisaa baada ya ushindi mnonoWe are champions not loosers.Imagine being usView attachment 2239247
And champions of Italy.Rio Ferdinand on BT Sport: "I've never seen a harder route to the final. They've beaten the champions of France, the champions of England. It's taken my breath away. They put in a magnificent performance
😀😀😀Lazma.tuwale the Blanco's
Sio offisde na ishaelezewa mara kibao, Nakumbuka hata Sisi Man U Tushawafunga Leeds Goli la Vile kwa Kichwa cha Radebe, Juzi juzi hapa Lovren Kachoma same Move,Hiyo ya Mbabe ni clear offside. Hilo kosa la kimaamuzi lililofanyika hapo haliwezi kuhalalisha scenario inayofanana na hiyo kuamuliwa kama ilivyotokea hapo.
Hawa barca ambao huwa wanatunyima guard of honour leo ndo wanatupa pongezi. Naona rais mpya wa barca hana unafiki kama aliyepita.
Wewe shabiki mamluki wa man shitye wewe Ni takataka kinoma😂😂😂😂Mimi nawambia tu sio kwamba mna timu nzuri Sana ,ila kichapo mtakachokutana nacho Leo mtajuta kuingia uwanjani![]()
Kama wewe Ni mwanamke Basi jaana utakuwa umebomolewa vya kutosha,😂😂 ilaa Kama wewe Ni men Basi itakuwa umepiga show ya maana 😂😂Usiku ulikuwa mnono kabisaa baada ya ushindi mnono
Uyu Kotwaa msaliti Ila Jana katufurahisha Sana😀😀😀Courtois voted Player of the Match for Champions League final
View attachment 2243108
Being Ass😂😂😂😂