HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 72,935
- 102,690
Angelishinda na Madrid pekee, PSG hatalishinda kamweMbappe is very young player,he still has the chance to win it on future wether with PSG or not.
Angelishinda na Madrid pekee, PSG hatalishinda kamweMbappe is very young player,he still has the chance to win it on future wether with PSG or not.
Mi naona hata VAR yenyewe ilichokaSwali haliji kutoka point of view hiyo, Pasi ya Mpira uliokwenda kwa Benzema ilitoka kwa mchezaji wa Liverpool, Kwa maana hapakua na offside pale, Refa alivurunda.
Luiz jana ilikuwa ni lazima atolewe. Cavajal jana alimkaba kila kona. Ni bahati mbaya hata Keita alipoingia akawa butu kuliko Luiz. Pongezi kubwa kwa strategy ya Real Madrid hasa kwenye ukabaji. Ulinzi ulikuwa shirikishi. Kila mchezaji jana alikuwa ni beki hata Benzema na ndio maana Real Madrid haikuwa na shots nyingi kule mbeleWameanza sub zao za bila macho kumtoa Luis Diaz ni janga jingine kwao
Hapo baadae kama kawaida Sherehe za Ubingwa zinahamia Cibeles kisha Santiago Bernabéu., so kama una Real Madrid TV unaweza kuona hizo shamra shamra.,Wazungu wanapenda sana michezo
Dstv wanayoiyo madrid chanel. Ni namba ngapiHapo baadae kama kawaida Sherehe za Ubingwa zinahamia Cibeles kisha Santiago Bernabéu., so kama una Real Madrid TV unaweza kuona hizo shamra shamra.,
Sergio Ramos ninajua angetamani kuwepo.
Ile battle ya Carvajal na Luis Diaz ilikuwa kubwa sana, halafu kuweka mambo kuwa magumu zaidi Valverde na yeye akawa anashuka kumsaidia Carvajal, wakipanda wanapanda wote, huku nyuma Militao anafanya follow up., huo upande kulikuwa na battle haswa, tofauti na watu walivyo kuwa wanafikria kuwa upande wa Arnold na Vini Jr ndio ungekuwa wa moto.Luiz jana ilikuwa ni lazima atolewe. Cavajal jana alimkaba kila kona. Ni bahati mbaya hata Keita alipoingia akawa butu kuliko Luiz. Pongezi kubwa kwa strategy ya Real Madrid hasa kwenye ukabaji. Ulinzi ulikuwa shirikishi. Kila mchezaji jana alikuwa ni beki hata Benzema na ndio maana Real Madrid haikuwa na shots nyingi kule mbele
Mfano VJ alikuwa na attemp 1, on target 1, goli 1
RM shots
Total 4
On target 2
Goal 1
Liver
Total 24
On target 9
Goal 0
Kipa MOTM
Militao supurb
Carvajal moto
Mendy on fire
Casemiro alidhobiti vizuri katikati
Aisee sijawahi kuichek ndani ya Dstv., labda wadau watusaidie kwenye hilo.Dstv wanayoiyo madrid chanel. Ni namba ngapi
Na plan ya Ancelloti ilikuwa kuwaingiza Rodrygo na Camavinga ili sasa tuende kushambulia, ila alipoona tumepata goli basi akambakiza Casemiro na Kroos uwanjani ili wakamilishe kazi waliyoianza., kwasababu jana Casemiro licha ya kuwa mzito, ila jana alikuwa anafanya marking kwa umakini sana, Alaba alikuwa anapanda anatibua kisha anamwachia Casemiro kazi ya kuweka mambo Sawa.nilifikiri kwamba fainali za UCL za 2018 kati ya madrid na liva ni kwamba liva alijifunza kitu na kurekebisha makosa yake ndo maana fainali zilizofata dhidi ya Spurs liva alitumia ujanja wa madrid kushinda taji. Cha ajabu jana liva karudia kosa lile lile na kumiliki mpira lakini magori anafungwa yeye. Na liva alijitoa muhanga jana laiti ile game ingeenda dakika 30 liva angetepeta mnoo maana playmaker wake THIAGO ALCANTARA alikuwa ametoka. Sawa na game ya citzens wamtoe DE BRUYNE unategemea nini.
Sub za jana za liva zilikuwa techinical lakini hazikuwa zimefocus itakuwaje game ikieenda EXTRA
Halllaaaa,Tulioamkia na kutoa show ya kibabe asubuhi na mchana wa leo kwa mama yeyoo emu tujuane maana jana tulisherekea ushindi tukarudi nyumbani tumechoka.
Yote tisa kumi ni kwamba jumla ya mataji ya UCL yalichukuliwa na clubs za England hayajafikia idadi ya UCL titles alizonazo REAL MADRID.
HALLA MADRID.....



DSTV hawana Real MAdrid chanel ila wana laliga chanelAisee sijawahi kuichek ndani ya Dstv., labda wadau watusaidie kwenye hilo.
Hivi yule Diaz ana umri gani? Yule jamaa ni mzuri sana, kama umri bado basi atakuja kuisaidia Liverpool huko mbeleni.Ile battle ya Carvajal na Luis Diaz ilikuwa kubwa sana, halafu kuweka mambo kuwa magumu zaidi Valverde na yeye akawa anashuka kumsaidia Carvajal, wakipanda wanapanda wote, huku nyuma Militao anafanya follow up., huo upande kulikuwa na battle haswa, tofauti na watu walivyo kuwa wanafikria kuwa upande wa Arnold na Vini Jr ndio ungekuwa wa moto.
Tulikuwa na shots ndogo kwenye lango la Liverpool kwa kuwa Valverde alikuwa anachelewa kupanda kusaidia mashambulizi., pia Toni na Casemiro hata Modrić muda mwingi walikuwa wanachelewa kupanda, ninaona kama walikuwa wanavuta muda ili kipindi cha pili waanze kushambulia Liverpool wakiwa wamejisahau na kuchoka., na ndio kitu kilichotokea., kuona kama hawa hawatakuja, kushangaa watu wanashangilia., hapo ndio experience inaonekana.
Muda mwingi nilikuwa na wasi wasi na aerial threats kutoka kwa Liverpool kwenye set pieces, ila Militao alifanya hiyo kazi kwa umakini sana.,
mcolombia yuleHivi yule Diaz ana umri gani? Yule jamaa ni mzuri sana, kama umri bado basi atakuja kuisaidia Liverpool huko mbeleni.
Real Madrid All Over The World, sasa tuanze rasmi campain ya kutetea taji back to back. Real Madrid Are Forever!Hala Madrid ilikua safari ndefu tunashukuru tumefanikiwa kuchukua hivi vikombe sisi ni bora dunia tutabaki kua bora.
Tukutane kipindi cha usajili
Kwani jana Liver kamiliki mpira ilikuwa almost 50/50nilifikiri kwamba fainali za UCL za 2018 kati ya madrid na liva ni kwamba liva alijifunza kitu na kurekebisha makosa yake ndo maana fainali zilizofata dhidi ya Spurs liva alitumia ujanja wa madrid kushinda taji. Cha ajabu jana liva karudia kosa lile lile na kumiliki mpira lakini magori anafungwa yeye. Na liva alijitoa muhanga jana laiti ile game ingeenda dakika 30 liva angetepeta mnoo maana playmaker wake THIAGO ALCANTARA alikuwa ametoka. Sawa na game ya citzens wamtoe DE BRUYNE unategemea nini.
Sub za jana za liva zilikuwa techinical lakini hazikuwa zimefocus itakuwaje game ikieenda EXTRA
Naona VAR na refa walichukulia ule mpira ulimgonga mchezaji wa liver ndio ukaenda kwa Benzema, kama ni hivyo ile ilikuwa offside halaliSwali haliji kutoka point of view hiyo, Pasi ya Mpira uliokwenda kwa Benzema ilitoka kwa mchezaji wa Liverpool, Kwa maana hapakua na offside pale, Refa alivurunda.
FactMchezaji wa Liverpool hakupiga pass deliberately, ile ilikuwa deflection tu ndio maana wakaifanya kuwa offside.