Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,611
- 8,111
Jana ilikuwa full shwangwe kuanzia mtanange wa kirumba na Paris pia.
Kikubwa kinachofurahisha kwa Madrid wakifikaga robo final tu wanabadirikaga hatari. Mechi ya jana ilikuwa wazi kwetu. Kwanza timu tulizopita nazo ukianzia na PSG,CHELSEA ndio ikaenda mpaka extra time,Man city zote vigogo. Ongezea na bahati jana ilikuwa lazima Liver waangamie. Hiyo ndio REAL MADRID hasa.
Kikubwa kinachofurahisha kwa Madrid wakifikaga robo final tu wanabadirikaga hatari. Mechi ya jana ilikuwa wazi kwetu. Kwanza timu tulizopita nazo ukianzia na PSG,CHELSEA ndio ikaenda mpaka extra time,Man city zote vigogo. Ongezea na bahati jana ilikuwa lazima Liver waangamie. Hiyo ndio REAL MADRID hasa.