Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Man will never walk alone
JPEG_20220528_232840_2397568763254826922.jpg
 
HT:Liver wameonyesha waicho nacho kwa maana ya ubora wao na pia dakika tatu had tano za mwisho kipindi hiki cha kwanza wameonyesha udhaifu wao,sisi tunazuia sana na tafsiri yake tunaruhusu kushambuliwa sana..liver hawana uwezo wakuzuia pressing za haraka haraka,wanajichanganya sana hapo nyuma na hata kipa wao hana utulivu...tukimpumzisha either casemiro au Kroos aingie Camavinga kwa ajili yakusukuma timu mbele itasaidia sana,hapa tunahitaji mtu wakusambaza upendo kwa haraka mbele..habar za back pass nazo zife.
 
Back
Top Bottom