Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Sio sheria Mpya ni ya Zamani kama sheria Nyengine jaribu kugoogle Offside rule utaelewa kuwa mbele ya mshambuliaji kukiwa na Mchezaji asiyezidi mmoja basi ni Offside ndiyomana ukiwa mbele ya mabeki wote mbele yako kukiwa na Kipa tu ni Offside unless kuwe na Kipa na Beki Yani wachezaji wawili.

Sasa pale Kipa wa Liverpool alitoka hivyo nyuma kukabaki na mchezaji mmoja tu wa Liverpool ndiyomana ikawa offside

Swali haliji kutoka point of view hiyo, Pasi ya Mpira uliokwenda kwa Benzema ilitoka kwa mchezaji wa Liverpool, Kwa maana hapakua na offside pale, Refa alivurunda.
 
Swali haliji kutoka point of view hiyo, Pasi ya Mpira uliokwenda kwa Benzema ilitoka kwa mchezaji wa Liverpool, Kwa maana hapakua na offside pale, Refa alivurunda.
Mchezaji wa Liverpool hakupiga pass deliberately, ile ilikuwa deflection tu ndio maana wakaifanya kuwa offside.
 
Jürgen Klopp has now lost more finals in the competition than any other coach (three), and despite winning the EFL Carabao Cup and FA Cup after penalty shoot-outs, Liverpool have failed to score a single goal in five and a half hours of football in major finals this season.

Hawa ndugu zetu kwenye final bado bado sana.,
 
Walioona kwamba ni offside walijiridhisha vyema zaidi yako! …hili tukio lilivyotokea mpira ulisimama zaidi ya dakika moja ili waamuzi kujiridhisha kuwa ni offside! Wewe angalia tu hiyo pass iliyokwenda kwa Benzema kutoka kwa Fabinho ilitoka katika mazingira gani! Je Fabinho alikusudia kuucheza ule mpira kwenda kwa Benzema? Ile si ilikuwa deflection?

Haikuwa deflection, aliupiga kwa kukusudia katoka harakati za kuokoa.
 
We jamaa bangi kweli, umekimbia uzi wako wa Chelsea unakuja kujipitisha na kanga moko kwenye uzi wa wanaume
Hawaa kweli Ni wanaume maana wamezibomoa timu zote Tatu za EPL! 😀😀 Wewe Jana ilkuwa zamu yako ..bado unahisi utelezi na umoto umoto uliopelekewa Jana ..sisi tunapita kutowa pongezi maana Ni ahadi tuliahidi😂😂😂
 
Mkuu unaifahamu Deflection? alipiga mpira uliokua umetulia halafu unaita deflection?
Jaribu kuangalia kwa hiyo clip fupi mkuu, slow motion then njoo tena. Jamaa wa var sio wajinga kukataa goli.
 
20220529_132252.jpg
 
Kama wewe Ni mwanamke Basi jaana utakuwa umebomolewa vya kutosha,😂😂 ilaa Kama wewe Ni men Basi itakuwa umepiga show ya maana 😂😂
Au nasema uwongo ndugu yangu?
Tulioamkia na kutoa show ya kibabe asubuhi na mchana wa leo kwa mama yeyoo emu tujuane maana jana tulisherekea ushindi tukarudi nyumbani tumechoka.

Yote tisa kumi ni kwamba jumla ya mataji ya UCL yalichukuliwa na clubs za England hayajafikia idadi ya UCL titles alizonazo REAL MADRID.

HALLA MADRID.....
 
Jürgen Klopp has now lost more finals in the competition than any other coach (three), and despite winning the EFL Carabao Cup and FA Cup after penalty shoot-outs, Liverpool have failed to score a single goal in five and a half hours of football in major finals this season.

Hawa ndugu zetu kwenye final bado bado sana.,
nilifikiri kwamba fainali za UCL za 2018 kati ya madrid na liva ni kwamba liva alijifunza kitu na kurekebisha makosa yake ndo maana fainali zilizofata dhidi ya Spurs liva alitumia ujanja wa madrid kushinda taji. Cha ajabu jana liva karudia kosa lile lile na kumiliki mpira lakini magori anafungwa yeye. Na liva alijitoa muhanga jana laiti ile game ingeenda dakika 30 liva angetepeta mnoo maana playmaker wake THIAGO ALCANTARA alikuwa ametoka. Sawa na game ya citzens wamtoe DE BRUYNE unategemea nini.
Sub za jana za liva zilikuwa techinical lakini hazikuwa zimefocus itakuwaje game ikieenda EXTRA
 
Back
Top Bottom