This Madrid-Man City game is a lesson to ladies that you should never judge a man's performance by the first round.

This Madrid-Man City game is a lesson to ladies that you should never judge a man's performance by the first round.

Tumeona mkuu.KIUKWELI MANCITY HATOCHOMOKA PALE SANTIAGO BERNABEU..NI SWALA LA MUDA TU.. KURUHUSU GOLI TATU ZOTE NYUMBANI NI MISTAKE itakayowagharimu pakubwa.
Wewe takataka timu yako siyo UEFA materials 😂😂😂😂Wewe una hoja gani za kimpira zaidi ya kusema mna CL 13 na hio Farmer league yenu ....
Ukija kwenye hoja za mpira kuchambua man city Vs real Madrid huna hoja kabisa kwani umezidiwa kila kitu
Zaidi utaishia kusema vitu hewa sijui historia ,Sasa historia inacheza ?
Mumeonesha umwamba nyie ni timu kubwa Sana.Wewe latest tuonyeshe kombe lako
Mpuuzi mama yako, huwa unaangalia mpira au unasubiri matokeoWe Mpuuzi jitokeze hadharani Uombe radhi
Ulikuwa wapi nilipotoa hiyo comment?Unasemaje we dogo sasa
Yule jamaa sijui alifika aje pale , jana ndio kachomesha alitakiwa amkabe Mahrez jamaa aka shoot yupo freeHivi aliyemsajili mendy ni nani huwa simuelewi aisee
Well said mashabiki wa RMA hua hatuna matusiNashauri, kujenga uzi wetu si vizuri kujibizana na watu hovyo, kutukanana kisa. Huu ni uzi kuhusu madrid mijadala iwe ya kujenga kuhusu timu, sio quote za kejeri na matusi.
Sisi madrid tuoneshe mfano. Wapiga kelele wote hakuna kuquote post zao. Tu move na vibes zetu
Nashauri, kujenga uzi wetu si vizuri kujibizana na watu hovyo, kutukanana kisa. Huu ni uzi kuhusu madrid mijadala iwe ya kujenga kuhusu timu, sio quote za kejeri na matusi.
Sisi madrid tuoneshe mfano. Wapiga kelele wote hakuna kuquote post zao. Tu move na vibes zetu
Mpuuzi mama yako, huwa unaangalia mpira au unasubiri matokeo
Ulikuwa wapi nilipotoa hiyo comment?
Mkuu mashabiki wa EPL wamezoea kutukanana kwenye nyuzi za timu zao, sasa wamekua wanajileta humu kuja kuropokwa ropokwa ovyo.