Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Argument za kitoto kabisa hizi.. Kwani kushinda mechi tatu kati ya 4 huko kipindi cha nyuma inazuia nini?
Ila za nyie santiago Bernabeu hatoki mtu za kikubwa?

Hajawahi kutufunga Ethihad

Tumewahi mfunga Bernabeu na tunaenda kumfunga Tena sisi ni waume zake
 
Mazee kumbe jana tumefungwa?
itakuaje sasa second leg pale. Maweeeee
 
🚨 For Those Who Were Comparing Xavi to Zidane:

Xavi has lost his 7th game as a manager for Barcelona. 👀

When Zidane lost his 7th game as the Real Madrid manager, he had already won 8 trophies for the club. 😳🔥
 
Mimi siwezi poteza muda kubishana na timu kama Madrid ilishajifia wanajificha kwenye kivuli cha historia hizo historia haziwezi kuwasaidia kufunga Goli .....!

Mshapitwa na wakati nyie ...
 
Mimi siwezi poteza muda kubishana na timu kama Madrid ilishajifia wanajificha kwenye kivuli cha historia hizo historia haziwezi kuwasaidia kufunga Goli .....!

Mshapitwa na wakati nyie ...
Ona huyu mamsister anaongea utumbo gani kubishana na timu haina ucl ni ujinga tu
 
Unaongea kama mtu ambae technically hujui football, post zako zote doesn't make any sense kwenye huu mchezo.

Achana na hizi comments za kitoto, ongea kuhusu Sports kama unafaihamu. Sio kubwatuka hovyo tu.
Wewe una hoja gani za kimpira zaidi ya kusema mna CL 13 na hio Farmer league yenu ....

Ukija kwenye hoja za mpira kuchambua man city Vs real Madrid huna hoja kabisa kwani umezidiwa kila kitu

Zaidi utaishia kusema vitu hewa sijui historia ,Sasa historia inacheza ?
 
Madrid na man city wamekutana Mara 4 city kashinda 3 Madrid kashinda 1
Unajitungia tu, hiyo rekodi ni kwa mujibu wa chanzo gani? Umepiga ramli au

Wamekutana UEFA Champions League mara 7, Man City kashinda mara 3, Real kashinda mara 2, Draw 2
 
Wewe una hoja gani za kimpira zaidi ya kusema mna CL 13 na hio Farmer league yenu ....

Ukija kwenye hoja za mpira kuchambua man city Vs real Madrid huna hoja kabisa kwani umezidiwa kila kitu

Zaidi utaishia kusema vitu hewa sijui historia ,Sasa historia inacheza ?


Hii football bruh, chill. Real Madrid beat European giants like PSG and Chelsea to reach semi final in the same sitiuation all of you didn't believe it. Wote mkasema ni bahati. Kwanini always bahati ni kwa Real Madrid tu, kwanini sio Roma au Arsenal?

Last game, City had it all on the pitch and Real Madrid played miserably in defense and yet they managed to score three goals. Don't underrestmate them, even Guadiola is under preasure right now because he knows who are Real Madrid in the Bernabeu. Acha matusi tusubiri tuone.
 
Hii football bruh, chill. Real Madrid beat European giants like PSG and Chelsea to reach semi final in the same sitiuation all of you didn't believe it. Wote mkasema ni bahati. Kwanini always bahati ni kwa Real Madrid tu, kwanini sio Roma au Arsenal?

Last game, City had it all on the pitch and Real Madrid played miserably in defense and yet they managed to score three goals. Don't underrestmate them, even Guadiola is under preasure right now because he knows who are Real Madrid in the Bernabeu. Acha matusi tusubiri tuone.

Wewe ndio shabiki unajielewa ...!

Wacha tuone round ya pili
 
Back
Top Bottom