🤣🤣🤣🤣unajisikiaje muda huu
🤣🤣🤣🤣unajisikiaje muda huu
Dogo kwenye UCL amekuwa mkombozi wetu mara nyingi kiukweli., anajua kujitengenzea mazingira ya kufunga na kubwa zaidi anajua goli bana, amenyimwa mwili na nyama tu, ila hivyo vitakuja tu kwenye mazoezi.Dogo katuokoa kwenye mawimbi mazito mara mbili
Seems like Los Blanco's wana scouting team nzuri hasa kwa vipaji toka Brazil watoto wanaotoka huko hua wanakiwasha sana hapo Santiago BernabeuDogo kwenye UCL amekuwa mkombozi wetu mara nyingi kiukweli., anajua kujitengenzea mazingira ya kufunga na kubwa zaidi anajua goli bana, amenyimwa mwili na nyama tu, ila hivyo vitakuja tu kwenye mazoezi.
Pale utamlaumu tu bure, watu wawili walikua free asingeweza ku cover wote.. Vin alitakiwa kuwa pale kumsaidia. Angalia yale mazingira vizura.Yule jamaa sijui alifika aje pale , jana ndio kachomesha alitakiwa amkabe Mahrez jamaa aka shoot yupo free
Hahaha., Mariano man anaona ufahari kuwa mmoja wa wachezaji wa Real madrid, ninadhani ameridhika hivyo, msimu uliopita mashabiki walimshtumu kuwa anapokea mshahara wa bure, Agent wake akamtafutia team ila baadae jamaa akakataa kuondoka kisa mshahara wake utapungua, ila ninadhani msimu huu mwishoni ataondoka tu.Mariano Diaz huyu hua sielewi kazi yake ni nini
System ya Ulinzi nzima ilipoteana, Nacho na mwenzie walipanda kwenda kukaba, bahati mbaya wote wakajikusanya upande mmoja wa kulia, tulibakiwa na eneo kubwa sana wazi upande wa kushoto, so ilikuwa ngumu sana Mendy kumark eneo kubwa vile.,Pale utamlaumu tu bure, watu wawili walikua free asingeweza ku cover wote.. Vin alitakiwa kuwa pale kumsaidia. Angalia yale mazingira vizura.
Upo sahihi kabisa mkuu. Nadhani pia watu hua wanaongea kwa kuangalia highlights.. Ile goal line clearance kama sio yeye ngoma ilikua imeisha. Ile space ilikua kubwa mno na ni ndani ya 18.. Ukianza kukimbia hivyo uwahi kukaba mtu ni rahisi sana kusababisha penalty pia. Mendy pale alikua na watu wawili, mmoja yupo karibu zaidi na goal na mwenye mpira so aliamua kusimama na huyo, so angesema akimbie kumfata Mahirez bado angemwacha huyu mwingine na angefunga kirahisi tu.System ya Ulinzi nzima ilipoteana, Nacho na mwenzie walipanda kwenda kukaba, bahati mbaya wote wakajikusanya upande mmoja wa kulia, tulibakiwa na eneo kubwa sana wazi upande wa kushoto, so ilikuwa ngumu sana Mendy kumark eneo kubwa vile.,
Halafu watu wanamlaumu Mendy ila wanasahau alifanya clearance kwenye mstari, lile goli lingeingia hata hiyo comeback tungeisikia tu.
Anajitahid kiasi chake sio mbaya sana, tatizo tulizoea uwezo wa Marcelo kwenda mbele, ule upande ulikuwa moto sana, shida ilikuwa ni lazima akipanda mtu arudi nyuma kujaza nafasi yake.,
Yale mazingira yalikuwa magumu sana kwake yeye kufanya marking kwa watu wawili, labda kama Nacho angewahi kurudi ingemsaidia yeye kwenda kumkaba Mahrez, uzuri wenzetu huwa wanafanya post match analysis, so watafanyia kazi hayo mapungufu.Upo sahihi kabisa mkuu. Nadhani pia watu hua wanaongea kwa kuangalia highlights.. Ile goal line clearance kama sio yeye ngoma ilikua imeisha. Ile space ilikua kubwa mno na ni ndani ya 18.. Ukianza kukimbia hivyo uwahi kukaba mtu ni rahisi sana kusababisha penalty pia. Mendy pale alikua na watu wawili, mmoja yupo karibu zaidi na goal na mwenye mpira so aliamua kusimama na huyo, so angesema akimbie kumfata Mahirez bado angemwacha huyu mwingine na angefunga kirahisi tu.
huwezi msemea mchezaji kwa kiangalia save moja tu ,Mendy amepewa muda wa kutosha kuweza kuprove uwezo wake lakini bado waonekana kuwa mdogo , dirisha la usajili madrid ina kazi ya kutafuta namba tatu nyingine Mendy HAMNA KITUU.Upo sahihi kabisa mkuu. Nadhani pia watu hua wanaongea kwa kuangalia highlights.. Ile goal line clearance kama sio yeye ngoma ilikua imeisha. Ile space ilikua kubwa mno na ni ndani ya 18.. Ukianza kukimbia hivyo uwahi kukaba mtu ni rahisi sana kusababisha penalty pia. Mendy pale alikua na watu wawili, mmoja yupo karibu zaidi na goal na mwenye mpira so aliamua kusimama na huyo, so angesema akimbie kumfata Mahirez bado angemwacha huyu mwingine na angefunga kirahisi tu.
Alaba atahamia huo upande endapo club itakubaliana na Antonio Rudiger, ili yeye acheze pale kati na Militao, upande wa beki ya kulia ninaona bado Lucas Vazquez akibaki ili amsaidie Dani Carvajal.huwezi msemea mchezaji kwa kiangalia save moja tu ,Mendy amepewa muda wa kutosha kuweza kuprove uwezo wake lakini bado waonekana kuwa mdogo , dirisha la usajili madrid ina kazi ya kutafuta namba tatu nyingine Mendy HAMNA KITUU.
Yas kama dili la Rudger likitiki itakua magoli sanaAlaba atahamia huo upande endapo club itakubaliana na Antonio Rudiger, ili yeye acheze pale kati na Militao, upande wa beki ya kulia ninaona bado Lucas Vazquez akibaki ili amsaidie Dani Carvajal.
Kuna report niliona kuwa Agent wake aliwapigia Maofisa wa Real Madrid kuwa mteja wake anaomba kufanya nao mazungumzo tena, kwani ya mwanzo hayakufanikiwa kwasababu ya mshahara jamaa alikuwa anautaka., ila kwasasa ninasikia kuwa amepungua so kwa asilimia kubwa kuna uwezekano wa jamaa kutupia uzi mweupe msimu ujao.,Yas kama dili la Rudger likitiki itakua magoli sana
madrid haijawahi niangusha kwenye kumaliza dealsKuna report niliona kuwa Agent wake aliwapigia Maofisa wa Real Madrid kuwa mteja wake anaomba kufanya nao mazungumzo tena, kwani ya mwanzo hayakufanikiwa kwasababu ya mshahara jamaa alikuwa anautaka., ila kwasasa ninasikia kuwa amepungua so kwa asilimia kubwa kuna uwezekano wa jamaa kutupia uzi mweupe msimu ujao.,
Diego Golden wa Atletico Madrid.Tofauti na RUDIGER, CB gani mwingine anayeweza kutufaa?
OkDiego Golden wa Atletico Madrid.
Sio kawaida yetu kununua wachezaji wenye umri mkubwa, hizi nafasi kama iliyotokea kwa Alaba na sasa Rudiger hatuwezi kuziacha kiukweli, ila kumbuka Militao ana miaka 23, na tegemeo la club ilikuwa ni kwa Vallejo kuwa performance yake ingeimarika, sema ninaona kama club hawana Imani naye, japokuwa kwa upande wangu game mbili alizopewa nafasi alicheza vizuri.Tofauti na RUDIGER, CB gani mwingine anayeweza kutufaa
Sawa, naamini F/PEREZ atafanyia kazi japo machaguo ni machache sana aisee, CBs wengi umri umekwenda mfano: K/KOULIBALY & MARQUINHOS, baadhi yao mikataba yao ni michanga: R/DIAS, na wengi hawana viwango hitajika vya kuchezea REALSio kawaida yetu kununua wachezaji wenye umri mkubwa, hizi nafasi kama iliyotokea kwa Alaba na sasa Rudiger hatuwezi kuziacha kiukweli, ila kumbuka Militao ana miaka 23, na tegemeo la club ilikuwa ni kwa Vallejo kuwa performance yake ingeimarika, sema ninaona kama club hawana Imani naye, japokuwa kwa upande wangu game mbili alizopewa nafasi alicheza vizuri.
Kwasasa sioni club ikitafuta kijana, mpka hapo baadae,
Sehemu ambayo club imefanya recruitment ni upande wa beki ya kulia, juzi hapa tulimchukua dogo mmoja wa Brazil anaitwa Vinicius Tobias kwa mkopo kutokea Shakhtar Donetsk, so tutaangalia mpka mwezi wa Sita