Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Mimi siwezi poteza muda kubishana na timu kama Madrid ilishajifia wanajificha kwenye kivuli cha historia hizo historia haziwezi kuwasaidia kufunga Goli .....!

Mshapitwa na wakati nyie ...
Njoo tuongee kiume sasa, mtu mwenye akili timamu hawezi kuidharau Madrid katika soka la ulaya. Shida ni kwamba huto tupass ambato huea mnapiga pale EPL ndo tunawapa kiburi ila nyinyi ni team ya kawaida sana zinapokuja knockout games.

Team iliyoruhusu goli tatu home inakuwaje strong?
 
Kwa mara ya kwanza jana nilimuona Pep amechanganyikiwa, labda kweli hii laana ipo kwa namna City ilivyotolewa.
Mimi nikipitiwa na usingizi, nilikuwa naufuatilia mtanange kwenye simu, saa 10 usiku nikashtuliwa ghafla na Junior(kama kawaida ya Majunior kuamka usiku), baada ya kumuweka sawa. Nikarush kucheki matokeo nikabaki mdomo wazi tena baada ya kuona goli la kwanza la Madrid limetungwa dk ya 90+2, halafu meza imepinduka.

Nikaenda kuangalia highlights, kwenye goli la pili la Madrid nikamuona Guardiola anakuna kipara haamini macho yake. Tena ukizingatia City walirudi nyuma wote muda huo kama ilivyokuwa kwa Atletico pindi wanacheza na City.

Mpira wa Miguu ni mchezo wa kikatili sana, na unabaki kuwa mchezo bora zaidi katika sayari hii!

Modric kipindi wamemutoa Chelsea alisema "To give up isn't an option" naona ndoo anaenda kuibeba tena kibabe sana ukizingatia Liverpool ana uchungu wa kulipisha kisasi cha mwaka 2018.

Tukututane Paris kushuhudia hayo maajabu!
 
Njoo tuongee kiume sasa, mtu mwenye akili timamu hawezi kuidharau Madrid katika soka la ulaya. Shida ni kwamba huto tupass ambato huea mnapiga pale EPL ndo tunawapa kiburi ila nyinyi ni team ya kawaida sana zinapokuja knockout games.

Team iliyoruhusu goli tatu home inakuwaje strong?
Hawa watu wa kuachana nao mkuu.. Mdomo na ujuaji mwingi wakati hawana lolote.
 
Hawa watu wa kuachana nao mkuu.. Mdomo na ujuaji mwingi wakati hawana lolote.
Ukikuta shabiki wa Man City huko bongo wengi wanakuwa ni vijana wadogowadogo(walioikita Man City katika ubora). Ni ngumu sana kumkuta shabiki wa Man City aliyekomaa kiakili huku Africa.
 
Hata kama hiyo sheria ingakuwepo Madrid alikuwa na goli 3 za away mkononi ndani ya dk 90, huku City akiwa na goli 1 la away.

Hii sheria ya Away goal wamefanya vizuri kuitoa, sasa imebaki sheria ya Aggregate ambayo natamani itolewe pia, mshindi apatikane kwa namna hii.

-Ukishinda mechi zote(H na A), umeshinda bila kujali wingi wa magoli.

-Ukishinda H/A ukadroo A/H, umeshinda

-Ukishinda H/A, ukashindwa A/H, muende Extra time, matokeo yakibaki vile vile, penati ziamue
Hii ya hovyo wasiifuate. Kwa mechi za uefa kufunga goli sio kitu rahisi.
 
Ukikuta shabiki wa Man City huko bongo wengi wanakuwa ni vijana wadogowadogo(walioikita Man City katika ubora). Ni ngumu sana kumkuta shabiki wa Man City aliyekomaa kiakili huku Africa.
Na Chelsea pia.. Angalia comments za shabiki wa hizi timu mbili.. Za kitoto sana.
Kuna mmoja wa man City alikua anakomaa huku na HTH records, kwamba man City kashinda mechi nyingi zaidi ya Madrid, kwahiyo lazima washinde. Sasa watu kama hawa ukibishana nao na wewe unaonekana hamnazo..

Let's Enjoy being Madridsta.

Kwa hatua tuliyofika na namna tumefika ni ujumbe mkubwa sana kwa dunia ya Football.. Wale wachambuzi wa Uingereza ingekua ni timu ya kwao huko sijui wangekua wanaongea nini sahizi.
 
Thank you Nacho.

Replaced Mendy at Lb against PSG, 2nd leg.
Replaced Militao at CB agianst Chelsea, 2nd leg.
Replaced Alaba at CB against Man city, 2nd leg.

In each of these games, he stood strong and confident. He did his job superbly.


A short post of huge appreciation for Nacho Fernández, who has now contributed to multiple LaLiga and Champions League wins as a RB, LB and CB. Tonight, he’s come into a Champions League semi-final with Alaba injured and produced a masterclass of cover defending by sweeping passes in-behind and monstrous 1v1 defending.

Nacho is the ultimate cult hero. He is always there when Real Madrid need him, a big game player.
 
Is Allah trying to speak to us through Football?
Is Allah trying to tell us Miracles still happen. That we must NEVER GIVE UP!
At 89 mins who thought #RealMadrid 3-5 behind would win with only a minute of play remaining.
No matter what you are going through...always have hope in every aspect of life.
 
Jomba Carlo amefundisha mpira muda mrefu tofauti na hao makocha niliowataja na kipindi hiko alikuwa miongoni mwa makocha bora sambamba na Ferguson na Mourinho, kwa sasa Klopp au Tuchel wapo juu ya Ancelloti, hata Nagelsmann na Ten Hag wana mpira unaovutia zaidi kuangalia kuliko huu anaofundisha Ancelotti.

Kingine labda tunatofautiana vigezo tunapowaangalia makocha, mimi naangalia style of play, results, tactics and development of young players(ziada). Hadi sasa sielewi our style of play, mechi nyingi tunashinda lakini roho mkononi ukitoa jana(tulicheza vizuri).

Kwa miaka ya karibuni ni Mourinho pekee aliekuja na style of play kabla ya kuzingua mwaka wa mwisho lakini miaka yake 2 ya mwanzo tuliisumbua Barca iliyotuonea muda mrefu hadi ubingwa tukabeba. Kipindi kile unaenda kuangalia mpira unajua kabisa sisi kwenye counter tupo vizuri, direct football and quick passes kwenda golini muda wote tunaokuwa na mpira na ndio kipindi madrid ilifunga magoli 121 ya ligi na 174 ya mashindano yote(2011_2012).

Zidane sikuwahi kumuelewa, huyu jamaa huwa namuona ni kocha mwenye bahati pengine kuliko makocha wote niliowahi kuwaona.
Hii timu Ancellotti alipewa kimakosa, tunaenda kimungumungu sana.

We Mpuuzi jitokeze hadharani Uombe radhi
 
_AVC8539_.jpg

Mr Champions #Rodrygo
 
Back
Top Bottom