Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Leo nimependa kocha alivyoingia na mbinu zake. Valverde anaweka overload upande wa beki ya kulia kuzuia cross toka kwa full back ya Chelsea.

Vini ana attack kwenda mbele so kuna muda atachelewa kurudi ilikua kazi ya kross na mendy kuziba gape la kushoto ata pale vini anapo rudi.

Kross alitakiwa kucheza bila kuvuka mstari wa kati ili kulinda mendy akipanda kwenda mbele.

Tumecheza vizuri na tuli stahi ushindi. Japo agg ya goli 2 sio nyingi. Hope nyumbani tutacheza poa zaidi.

Sisi wote ni Madrid.
Hongera
 
Msije kusingizia vita vya Ukraine mtakapo shindwa kupindua
Hivi unadhani kwamba game imeshaisha?? Hii Ngoma bado ni mbichi kabisa Yani, Hawa takataka tunawapiga hapo hapo kwao, shika benzema basi ..timu mzima inappteana

Sisi ndio Chelsea bwana alaah..💙💙💙
 
Meza ya wapi?
Labda uipindue yako hapo nyumbani kwako
Huyo hana hata sturi nyumbani kwake . mashabiki wa Chelsea wengi ni wavuta bangi . wanyoa viduku . wanakura gomba sana pale darajani

download (1).jpeg


images (20).jpeg
 
Dude,mpe heshima yake Carlo Ancelotti kusema hayupo daraja moja na hao VIMEO uliowataja ambao kimafanikio hawamfikii ni kum-dharau sana mzee carletto na katika hao makocha uliowataja ambaye kimafanikio anaweza kwenda sambamba na Carlo ni Pep tu.
Jomba Carlo amefundisha mpira muda mrefu tofauti na hao makocha niliowataja na kipindi hiko alikuwa miongoni mwa makocha bora sambamba na Ferguson na Mourinho, kwa sasa Klopp au Tuchel wapo juu ya Ancelloti, hata Nagelsmann na Ten Hag wana mpira unaovutia zaidi kuangalia kuliko huu anaofundisha Ancelotti.

Kingine labda tunatofautiana vigezo tunapowaangalia makocha, mimi naangalia style of play, results, tactics and development of young players(ziada). Hadi sasa sielewi our style of play, mechi nyingi tunashinda lakini roho mkononi ukitoa jana(tulicheza vizuri).

Kwa miaka ya karibuni ni Mourinho pekee aliekuja na style of play kabla ya kuzingua mwaka wa mwisho lakini miaka yake 2 ya mwanzo tuliisumbua Barca iliyotuonea muda mrefu hadi ubingwa tukabeba. Kipindi kile unaenda kuangalia mpira unajua kabisa sisi kwenye counter tupo vizuri, direct football and quick passes kwenda golini muda wote tunaokuwa na mpira na ndio kipindi madrid ilifunga magoli 121 ya ligi na 174 ya mashindano yote(2011_2012).

Zidane sikuwahi kumuelewa, huyu jamaa huwa namuona ni kocha mwenye bahati pengine kuliko makocha wote niliowahi kuwaona.
 
Hivi unadhani kwamba game imeshaisha?? Hii Ngoma bado ni mbichi kabisa Yani, Hawa takataka tunawapiga hapo hapo kwao, shika benzema basi ..timu mzima inappteana

Sisi ndio Chelsea bwana alaah..
Unachosema ni kweli kinawezekana, lakini si rahisi kama unavyofikiria, timu kupata matokeo chanya uwanja wa ugenini ya kuiwezesha kufuzu hatua inayofuata kwenye michuano mikubwa kama hii ni tukio la kihistoria, karibu BERNABEU
 
Hivi unadhani kwamba game imeshaisha?? Hii Ngoma bado ni mbichi kabisa Yani, Hawa takataka tunawapiga hapo hapo kwao, shika benzema basi ..timu mzima inappteana

Sisi ndio Chelsea bwana alaah..💙💙💙


Kumshika Benzema hilo ndio tatizo, kwasababu yule mzee ni baller. Yule mpira anaufuataga chini halafu anakuja nao juu huku anatoa pasi. Mpira ukimfikia Vini Jr ni mbio na nutmeg, mabeki viherehere wote washampoteza Big Benz yuko wapi. Wakishtuka wayaaa...
 
Back
Top Bottom