Una L ngapi kwenye ligi? UEFA upo? X-MESSI FCWatani, siku hizi mko tia maji tia maji sana. Hata mechi za kushinda bado mnashinda kwa taaaaabu. Mimi nakuja taratibu, sina mpango wa kushinda ligi. Ila ole wenu mnipe nafasi. Ole wenu!
Una L ngapi kwenye ligi? UEFA upo? X-MESSI FCWatani, siku hizi mko tia maji tia maji sana. Hata mechi za kushinda bado mnashinda kwa taaaaabu. Mimi nakuja taratibu, sina mpango wa kushinda ligi. Ila ole wenu mnipe nafasi. Ole wenu!
Ahsante kwa maoni, kwa falsafa ya mpira wa REAL hamna COACH ambaye ni active anayefaa pale kwa sasa zaidi ya CARLONagelsmann au Ten Hag.
Unataka kusema nini?RMA sio academy ni club ya mataji
Ancelotti ni upgrade ya Zidane hilo halina ubishi ila hayupo daraja moja na Klopp, Guardiola, Flick, Tuchel or Nagelsmann.Ahsante kwa maoni, kwa falsafa ya mpira wa REAL hamna COACH ambaye ni active anayefaa pale kwa sasa zaidi ya CARLO
Ancelotti mna muonea,mpe Man City leo kama hakuupiga mwingi-tatizo ni players alionao hapo RM.Ancelotti ni upgrade ya Zidane hilo halina ubishi ila hayupo daraja moja na Klopp, Guardiola, Flick, Tuchel or Nagelsmann.
Hao uliowataja wanamzidi nini Don Carlo?Ancelotti ni upgrade ya Zidane hilo halina ubishi ila hayupo daraja moja na Klopp, Guardiola, Flick, Tuchel or Nagelsmann.
Hatuchukui makocha wa academy, akitoka Calo anakuja Massimilliano AllegriUnataka kusema nini?
Mbinu na ubunifu, hao makocha wana identity na almost kila mechi wanakupa kile unachotegemea kukiona hata wakifungwa unaelewa.Hao uliowataja wanamzidi nini Don Carlo?
Allegri nae sio mkali hivyo pia juzi tu hapa ametoka kusema aliikataa kazi ya Madrid huku akiwa ameshasign akaamua kwenda Juve kwahiyo huyu uwezekano wa kuja ni mdogo.Hatuchukui makocha wa academy, akitoka Calo anakuja Massimilliano Allegri
Eric ni coach mzuri lakini kuna daraja anatakiwa kuvuka ndio aje Bernabeu ni ngumu straight from Ajax to Real MadridAllegri nae sio mkali hivyo pia juzi tu hapa ametoka kusema aliikataa kazi ya Madrid huku akiwa ameshasign akaamua kwenda Juve kwahiyo huyu uwezekano wa kuja ni mdogo.
Hao makocha unaowaita wa Academy ndio wanaosumbua sasa hivi na ndio wenye mafanikio kwa kuwa wanakuja na vitu vipya.
Wewe ndio hujui kitu.CHELSEA kwenye UEFA wamewahi kukutana na REAL MADRID mara moja tu - msimu uliopita, mguu wa kwanza matokeo yalikuwa droo ya 1 - 1, mguu wa pili mlishinda 2 - 0, kwa ujumla REAL wana rekodi nzuri dhidi ya CHELSEA, wana WIN 2 'CHAMPIONS CUP' na 'UEFA' wana DRAW 1, wakati CHELSEA wana WIN 1 tu na DRAW 1
Sawa, wewe unajuaWewe ndio hujui kitu.
Unaposema hayupo daraja moja na hao uliowataja unamaanisha nini? unaufahamu wasifu wa CARLO?Ancelotti ni upgrade ya Zidane hilo halina ubishi ila hayupo daraja moja na Klopp, Guardiola, Flick, Tuchel or Nagelsmann.
Unapinga: mpira anaofundisha CARLO unaendana zaidi na falsafa ya REAL ukilinganisha na hao makocha uliowataja? hao uliowataja wanaweza kuwa ndo makocha bora kwa sasa ulimwenguni - na si in general, wasifu wa CARLO unajieleza, wana mengi ya kujifunza kwakeAncelotti ni upgrade ya Zidane hilo halina ubishi ila hayupo daraja moja na Klopp, Guardiola, Flick, Tuchel or Nagelsmann.
Hapana, sijui.Unaposema hayupo daraja moja na hao uliowataja unamaanisha nini? unaufahamu wasifu wa CARLO?
You're talking about L? Hata sikumbuki mara ya mwisho ilikua lini ndugu mtani. Ila naamini wewe unakumbuka vizuri kabisa, au umesahau nikukumbushe?Una L ngapi kwenye ligi? UEFA upo? X-MESSI FC
League? au Uefa?You're talking about L? Hata sikumbuki mara ya mwisho ilikua lini ndugu mtani. Ila naamini wewe unakumbuka vizuri kabisa, au umesahau nikukumbushe?
Mtani bana, si umekula nne juzi tu hapa? Ndio tayari umesahau?League? au Uefa?
Kabla ya kushinda hiyo mechi mara yenu ya mwisho kushinda dhidi yetu ilikuwa mwaka gani?Mtani bana, si umekula nne juzi tu hapa? Ndio tayari umesahau?