🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣anazunguka tu kama Ali kiba alivyokuwa coast union
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣anazunguka tu kama Ali kiba alivyokuwa coast union
Kakutana na watu wanaokaba mpaka kivuli hawakupa space kabisa ndio maana umemuona uselessMechi moja tu alicheza vizuri na Liver basi hizi mechi mbili na chelsea alikuwa anazunguka tu kama Ali kiba alivyokuwa coast union
Watu wanakaba utasema wanatafuta contract yule Rudigger zile sifa sasa watu wanajuwa kukaba sio mchezo kama ile walker mechi ya city na PSG alikuwa anakimbia mpaka Neymar anaachia mpira kishindo cha jamaa utasema train ya umeme imeondoka kituoni. Kuna jamaa nilikuwa natizama naye game kamtukana Kante mpaka basi hizi sasa sifa huyu mtoto.Kakutana na watu wanaokaba mpaka kivuli hawakupa space kabisa ndio maana umemuona useless
Utaamini sasa maneno yng. Maana watu km nyie mkiwa mnaabiwa vitu ili usikie vzr km uko karibu unakolewa kwanza mankozi kichwani ili akili inakua sawa. Mfumo wa 4+3+3 ni mbovu sn. Sasa niambie mwenyewe Vini Jr na Hazard Jana walifanya nini? Bora ata ya huyo Babu Benzima.Ninaona unapata sana shida na mfumo, huo mfumo wa 4 3 3 ndio tulioutumia dakika 15 za mwisho, mbona hamkutusumbua ama kutufunga, wewe weka kichwani kuwa leo mtakutana na team tofauti na ya awali, sasa nendeni na matokeo mfukoni mkalie
Nini tena unapiga makelele? You can't unlock the 5+3+2 ya Chelsea ata siku moja. Na nilikwambia wewe... Umeona sasa?Mbona kocha wetu analazimisha hii formation jamani?
Sasa utaenda mbele na hakupitiki? Rudi ukapige back pasi huko na kipa wako. Kwani Diego Simeon alipenda tumfunge mara mbili?Upo sahihi 100%....hakuna mpira wa hatar hapa...sisi tunapiga sana back pass,hakuna press kabisa...
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
@castr nilikwambia unaona jamaa yako anayosema hapa?HT:Tumepossess kwa kiwango kikubwa ila haina madhara,hakuna press tuliyofanya...bado eneo la kati chelsea wanatuzidi zaidi tunategemea kutumia pembeni ambapo inaonekana hiyo mbinu imefail...Hazard hajafanya chochote naona amerudi darajani kutalii,watu wetu mpira haukai mguuni..mpira ukifika kwa Casemiro basi kinachofuata ni back pass,hii siyo afya kwa kutegemea kushinda au kurudisha hapa,..beki zetu zinatoa macho tunaposhambuliwa,zinamuachia kipa abaki mwenyewe.
Kipindi kinachofuata inatakiwa ni kujitoa kwa kasi ya zaidi ya 200%...
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Utaipigia wapi hiyo cross? Labda umrudishie kipa wako akusaidieHakuna decent cross yoyote iliyopigwa na full backs wetu hadi sasa.
Jamaa wanaumia sana ,roho zinawauma sana.Hahahahahaha hahaha
TT kadroo na man unitedMsituangushe fainali aiseeh. Naomba Mungu anijalie uhai Ili nishudue hiyo mechi.
muyo shoga ako luka hana namba mbele ya chamaWe unataka kuleta ushabiki maandazi, mie nazungumzia soka.. Kwa taarifa yako, mimi si mshabiki wa madrid wala chelsea..
Soka kwangu mbele kuliko ushabiki maandazi..
Ndio yale yale kuna chizi mwenzio kumuita ngolo kante mtu mmoja na nusu anasema mie chelsea
Wakat mwingi matokeo huletwa na timu nzima kwa mfumo mzuri (mbinu) nzuri za kocha..
Ofcz modric yuko vizuri tena mnoo, angefanya nini unadhani pale.. We unadhani shughuli aliyofanya ndogo!??
Mkuu madrid tuliwamiliki tukiwa kwao.Goli la kwanza ndio limeamua game, Chelsea wakaona tunaweza kushinda, wakaongeza nguvu. Unaona mapumziko walitoka nje kabla ya muda. Real Madrid wamecheza mazoea, lakini jamaa wameamua kupambana kinyama. Inauma sana, lakini nimependa spirit yao.
acha kingereza cha kimalayaTough luck, Madridistas. We go focus on the league now.
liverpool ni wabovu mnoMechi moja tu alicheza vizuri na Liver basi hizi mechi mbili na chelsea alikuwa anazunguka tu kama Ali kiba alivyokuwa coast union
Huwezi unlock na wakati Westbrom kawapiga 5 na formation hii hii?Nini tena unapiga makelele? You can't unlock the 5+3+2 ya Chelsea ata siku moja. Na nilikwambia wewe... Umeona sasa?
Sbbu ya kufungwa na WBA tulilambwa kadi nyekundu.... Lkn kabla ya kadi tulikuwa moto hao WBA walikuwa wamekufa.Huwezi unlock na wakati Westbrom kawapiga 5 na formation hii hii?
Kadi nyekundu moja ni kitu gani kwa kocha mwenye mbinu? Mbona Ajax aligewa red moja akawasasambua ikabidi red nyingine iongezeke ili mshinde?Sbbu ya kufungwa na WBA tulilambwa kadi nyekundu.... Lkn kabla ya kadi tulikuwa moto hao WBA walikuwa wamekufa.
Nakwambia hamuwezi unlock the defensive machine ya 5+3+2... Na mna bahati sn Kovacic alikuwa majeruhi. Huyu mtu angewakusanya hapo kati km kijiji wooote na kuwageuza anavyotaka yeye. Umemuona tu Kante alivyo wasasambua wote.