Nilisema watu hawajajua hii ni Chelsea ya T TuchelUnaanza kuwakataa wachezaji Wako hiyo ndio Chelsea leo Tuchel kaja na mbinu ya kuwaachie mcheze nyinyi ili mtengeneze space ya Chelsea kupiga counter attack na nyinyi mmeingia kwenye mtego wake
***** nimecheka🤣🤣🤣Anaisaidia timu yake ya zamani.







Hahahahahaha hahahaMe sioni kabisa mpira anaocheza chelsea. Tunafungwa kwa magoli ya kizembe tu.







Easy Jomba, team imecheza poa, hatukuwa na bahati tu, japokuwa kufunga 2 bila inaumiza sanaKmmazao wasenge hawa...hizi cross hazisaidii kumamae hawaoni yaan...wamekomaa nazo...mtu ana nafasi yakusogea anapeleka pembeni kumamae kabisa kuanzia zidane,beki na hizi foward...
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Hala madrid.Mpaka sasa team imecheza vizuri licha ya kuwa nyuma kwa goli moja, Tunahitaji vitu vidogo sana kupata goli la kusawazisha, na huo uwezo tunao.
HalaMadrid!!
Hahahahahahahahaha
HahahahahahahahaHawa jamaa ni warefu wanaokoa...sasa tumekomaa na njia hiyo hiyo kumamae...mtu yupo nafasi yakupiga anapeleka mpira pembeni...
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Hahahahahahahahahaha kufa mkuuCross hazisaidiii kumanina...sijui kwa nn hawaoni hilo
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app




Yeah, wa. Wametumia nafasi walizopata vizuri kuliko sie, nimpongeze golie wa Chelsea amefanya vema sanaChelsea deserved it. The energy level walioionyesha sio ya kawaida. Dakika 90 wanakimbia
Ha ha ha eti ana bahati
Kabisa mkuu, mimi ni Madrid ila mpira walioucheza leo madrid ni mashudu tu, hana beki za maana(Wana kabia macho), haeleweki anacheza mfumo gani,,. Yani Kiufupi, tumepigwa kihalali kabisa.Chelsea deserved it. The energy level walioionyesha sio ya kawaida. Dakika 90 wanakimbia
TupooooHahahahahahahaha hahahahaha mpooooooooo![]()

Baeleze baeleze hao..Nilisema watu hawajajua hii ni Chelsea ya T Tuchel
Msituangushe fainali aiseeh. Naomba Mungu anijalie uhai Ili nishudue hiyo mechi.Sisi Man city, tutamnyoosha chelsea wala musijali wakuu. Hapa Mahrez, Aguero, foden na De bruyne..kule nyuma Ruben dias, watakipata wakitakacho
Man city 2-0 Cheleseee