Yeye mwenyewe alishasema. Kz imebaki kwenu kukataa kucheza na Chelsea. Ndio kz iliyo baki mfanye nyie timu zingine.Anyway. Thom ana msimu mzima wa kuprove kwamba timu zitakua zinaogopa kukutana naye
Hapo baadae mkijakuzoea kuchukua ubingwa mara kwa mara kushinda haitakuwa kitu chaajabu kama hivi
Tatizo mabingwa wa mara kwa mara wanaongea kama ndio ubingwa wao wa Kwanza.
Watu wanazidi kuimwagia sifa Chelsea lkn hawaachi kumwagia sifa Kante wakidai kuwa ni mchezaji zaidi ya mmoja. Ukiwa na Kante basi unakua na wachezaji wawili zaidi.Hapana wanaoongea sana niwale mabingwa wakila baada ya miaka kumi










yaani ukiwa na Kante unakua unacheza na watu wawili zaidi 








Watu wanazidi kuimwagia sifa Chelsea lkn hawaachi kumwagia sifa Kante wakidai kuwa ni mchezaji zaidi ya mmoja. Ukiwa na Kante basi unakua na wachezaji wawili zaidi.
The whole team were absolutely superb over both games and ended up deserved winners against a giant of European football in Real Madrid.
But there was once again another Man of the Match performance from the robot human that is N’Golo Kante. When people say it is like having two players on the pitch when he plays, that is literally a fact!
Kante was colossal for Chelsea again last night and deserved his award, but as always he stays Mr humble, and it is left for his team mates to give him the praise he deserves.
Timo Werner nae hakua nyuma kumwagia sifa Kanteyaani ukiwa na Kante unakua unacheza na watu wawili zaidi
“N’Golo is always really important for us. He’s a beast, to win the ball and fight and run all over the place. The manager tells us every time he is playing that we play with two players.
“He’s a really good guy, plays so good, and also last night how he ran next to me and created a chance and also when he ran with the ball, gave a pass to Christian at the second goal. He’s so important to us and I’m very glad we have him in our squad.”
Asitutishe...kuna tofauti nyingi tu kati ya Chelsea ya sasa na Madrid ya sasa huko,Chelsea are making headlines tu mpira wa England na Ulaya una wenyewe...watoto wadogo endeleeni kula chocolate tu kwenye seat zetuYeye mwenyewe alishasema. Kz imebaki kwenu kukataa kucheza na Chelsea. Ndio kz iliyo baki mfanye nyie timu zingine.View attachment 1776092


...tunajua fainali inachezwa na timu yenye UEFA 1-0 kwahiyo mna njaa kweli kweli na hiyo kitu japo inauma kututoa sisi Madrid 


Ni kweli man, ila ishu ya vijana wetu kupata majeraha kila siku inaturudisha nyuma sana, hopefully hao waliopo watapambana tupate ushindi Leo,Wakuu, Atleti na Barca wametoa suluhu, yaani kesho tukimpiga Sevilla tunakaa pale kileleni. Na kila game inayokuja itakuwa fainali
Hapa sasa naona atletico ashindwe mwenyewe tu
Kweli wamepambanaNi kweli man, ila ishu ya vijana wetu kupata majeraha kila siku inaturudisha nyuma sana, hopefully hao waliopo watapambana tupate ushindi Leo,
nimeuona huo ushindi mkuiZidane leo anakuja na 4-4-2. Hii game ya leo ushindi ni muhimu kupita maelezo.
Kwa upande wangu, mpaka tulipofikia team imejitahidi sana, almost karibia msimu mzima Zidane hajafanikiwa kuwa na kikosi chake chote, kila siku ni majeruhi juu ya majeruhi, tumekuwa na shida sana kwenye full back wetu, hao wanaokaimu hawakizi viwango, angalia jana Marcelo na Ordiozola, yaani kuuzia hawawezi wala kushambulia hawawezi, hapo utaanza vp kumlaumu Zidane, hao ndio wachezaji alionao kwenye bench.Mimi bado naamini tunatakiwa tufanye reform ya hii timu kuanzia benchi la ufundi,waliopo wengi wameshashinda kila kitu kwa hiyo hawana morali....kwa sababu unaona kabisa mnafikia sehemu kwenye peak yakupata ushindi ila huon timu ikicheza kwa jasho na damu..
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app