pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,245
- 3,731
Hizi beki kama zimepigwa barafu aisee.....Viungo wanafanya kazi yao vizuri, mbela wako vizuri, shida kubwa inakuja kwa mabeki kupanda sana mbele, kukabia macho na kupenda mpira wa nyuma.
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app