Hata ukivaa na ile raba mtoni yako mkuu kipigo kipo palepale..Kidding.Leo naenda kibanda umiza nikiwa na amani kabisa. Tena nakula daku kabisa ndio naenda.
Sina sababu ya msingi lakin "my guts" tells me that Madrid tunaenda FINAL.
Mara nyingi huwa nilikuwa ninatumia hesgoal.com, kidogo hii huwa ninaona hawazingui sana, so utajaribu hapo Mkuu na kama kuna mtu mwingine mwenye link nzuri na ya uhakika basi ataweka ili uweze kupata burudaniMwenye link, alete mambo.
Hesgoal kuna kipindi niliitembelea kkawa inaleta manjegekeMara nyingi huwa nilikuwa ninatumia hesgoal.com, kidogo hii huwa ninaona hawazingui sana, so utajaribu hapo Mkuu na kama kuna mtu mwingine mwenye link nzuri na ya uhakika basi ataweka ili uweze kupata burudani
Huu uzi haukimbiwi. Nyinyi hii ngoma hamuiweziUsije baadae ukakimbia Huu uzi nakupa tahadhali mapema mdomo wako utakuponza nyinyi hamna team yakuifunga Chelsea
Jaribu tena na Leo Mkuu, ila ninadhani wadau wengine wanaofuatilia hii game online watakupatia link pia.Hesgoal kuna kipindi niliitembelea kkawa inaleta manjegeke
Na fullback ya kulia inapanda sana mbele, na inasahau kurudi haraka. Kama isingekuwa offside, lile lingekuwa ni goal la kizembe sana.
Tayari, nilichokizungumzia kimetuadhibu.Na fullback ya kulia inapanda sana mbele, na inasahau kurudi haraka. Kama isingekuwa offside, lile lingekuwa ni goal la kizembe sana.
Somaa hukoo...huyo ndio TTMkuu acha kujifariji, TT huyu huyu aliyeishindwa the giant PSG nyie vibonde ndo wa kumwona fundi halafu fanya ubadili ID, Hazard is no longer in Chelsea Football Club.
AtafutweeeUsije baadae ukakimbia Huu uzi nakupa tahadhali mapema mdomo wako utakuponza nyinyi hamna team yakuifunga Chelsea
Viungo wanafanya kazi yao vizuri, mbela wako vizuri, shida kubwa inakuja kwa mabeki kupanda sana mbele, kukabia macho na kupenda mpira wa nyuma.Usenge huu kumamm%#^#%#% kama goli la week iliyopita...beki zinatoa macho *****...
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app