Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Kuna watu humu hawaoni pengo la kuondoka kiumbe aliyeweza kufunga goli 40+ kwa kila msimu, ila wachezaji Kama Messi wanakiri Real Madrid bila CR7 ni dhaifu, bado team hii itakapo kutana na solid team Kama juve jukwaa hili itakuwa aibu kuingia
 
Haha wamekutana na tim ya dunia wanajitetea cristina hayupo mbona akiwepo huwa mnapelekeshwaga ivoivo na bahat yenu leo king mesia hayupo
 
Unachotaka kusema angelikuwemo Ronaldo Real Madrid Wangelishinda au?

Mwaka jana walikula kipigo cha 3-0 tena ndani ya Bernabau na Ronaldo akiwa ndani.


MKUU MBONA UNADIVERGE KWENYE HOJA ZAKO ULIZOKUWA UNAJIBIZANA NA WATU HUMU JUKWAANI...NASHANGAA UNAMUINGIZA VIPI RONALDO WAKATI WEWE WATU WAKIONGELEA MAPUNGUFU YANAYOONEKANA WAZI KWENYE TIMU WEWE ULIKUWA UNAWALIPUKIA NA CHA AJABU KADRI SIKU ZINAVYOENDA YANAZIDI KUJIDHIIRISHA , OK!...STOP ATTACKING OTHER FANS AND NO NEED TO FIGHT EACH OTHER AS LONG AS BOTH WE'RE MADRID FANS BUT FIRST YOU MUST ACCEPT THAT REAL HAS A PROBLEM AND OBVIOUSLY NOT GOING IN OUR WAYS WE USE TO OPERATE...RIGHT?
 
Nimechoka kweli kweli, ila sina jinsi, team yangu ni Real madrid na nitaendelea kuishabikia, ila kwasasa kama solution ni kupata coach mpya ninaridhia kwa moyo mmoja. Nimeshachoka kukosa raha kila week, nilikuwa ninaona sio poa kumfukuza coach muda huu, ila kwasasa ninaona ni poa tu.

ila mkuu mie niseme tu...huyu kocha alikuja na style nzuri sana tu ya uchezaji na timu ilikuwa inacheza mpira mzuri wa kupass na kupress vizuri hasa eneo la kiungo...ishu iliyomuangusha huyu jamaa ni 1. kutumia wachezaji walewale aliowakuta wakicheza kwa misimu mitatu mfululizo{kitu ambacho ata zidane alikigundua na kukiepuka fasta...infact bwana perezi alilitambua hilo na hakuwa tayari kuleta wachezaji wapya ili kuamsha ile morale ya timu}, kwa hivyo ni ukweli ulio wazi kuwa real inahitaji kusajili hasa forward line na back wa kati ata mmoja tu(wakuwasaidia ramos na varane) ili kuamsha morale ya timu kwa maana licha yakuwa forward zetu ni butu lakini unaona kabisa timu imekosa push/fighting spirit/driving character tuliyokuwa nayo awali kwa maana niwe muwazi KAMA TUNGEKUWA NA MORALE NA FORWARD MAKINI PALE MBELE KAMA ICARDI IN THE START OF SECOND HALF BARCA WALINYWEA KWAHIYO ILIBIDI SISI TUTUMIE ILE MOMENT TO DRIVE BACK THE SITUATION...CHA AJABU YULE NDUGU YETU BENZEMA KAKOSA CHANCES ZA WAZI KABISA NA TEAM ILIPOTEZA MORALE NA KUTOKANA NA HILO KADRI TEAM ILIPOKUWA IKIRUHUSU MAGOLI NDIPO DEFENCE NZIMA IKATEPETA...KWA UPANDE WA KIPA SINA SHAKA NAE JAMAA KAJITAHIDI ILA DEFENCE YAKE ILIMUANGUSHA, But I hope perez atayaweka sawa siku chache zijazo likiwepo ilo la usajili ili tuweze kurudi kwenye winning track yetu maana haiwezekani mechi tano mfululizo za ligi hatuna ushindi.
 
MKUU MBONA UNADIVERGE KWENYE HOJA ZAKO ULIZOKUWA UNAJIBIZANA NA WATU HUMU JUKWAANI...NASHANGAA UNAMUINGIZA VIPI RONALDO WAKATI WEWE WATU WAKIONGELEA MAPUNGUFU YANAYOONEKANA WAZI KWENYE TIMU WEWE ULIKUWA UNAWALIPUKIA NA CHA AJABU KADRI SIKU ZINAVYOENDA YANAZIDI KUJIDHIIRISHA , OK!...STOP ATTACKING OTHER FANS AND NO NEED TO FIGHT EACH OTHER AS LONG AS BOTH WE'RE MADRID FANS BUT FIRST YOU MUST ACCEPT THAT REAL HAS A PROBLEM AND OBVIOUSLY NOT GOING IN OUR WAYS WE USE TO OPERATE...RIGHT?
Unabishana na messi fan huyu jamaa hampendi ronaldo balaa
 
Team ya dunia ipi ?Barça team ya LA Lisa Messi tu Ndio yupo team ya dunia furaha isikufanye usahau modrick,ramos ,varane, Marcelo Ndio wapo team ya dunia
Haha wamekutana na tim ya dunia wanajitetea cristina hayupo mbona akiwepo huwa mnapelekeshwaga ivoivo na bahat yenu leo king mesia hayupo
 
Mungu anawapenda waja wake mmoja ya majambazi sugu linaitwa Messi lilikuwa linatizama jukwaani kwa uchungu, very aggressive and anxious to destroy someone
 
Tunashukuru kwa kipigo cha goli 5... real imeyumba sana, wachezaji wametumika sana wamechoka.
Mbaya zaidi hata striker haina makali kabisa, beki hoi,
 
Back
Top Bottom