Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,650
- 20,993
Mkuu Numby bado upo RM? au ulihama na CR7?Second goal by marcelo
Mkuu Numby bado upo RM? au ulihama na CR7?Second goal by marcelo
Marcelo kashajichokea Siku hizi anaruka ruka tu...Wakuu vipi maendeleo ya Marcelo huko? Bila huyo jamaa tutawaua.
Tatizo conte atamzibia hazard kuhamia madrid,hawa wawili hawapatani
Madrid tatizo kubwa sio kocha bali wachezaji viwango. Msimu huu wachezaji wengi umri mkubwa,ila sasa baada ya kuuzwa mmoja, kelele za umri zikapungua watu wamejisahau kuwa kikosi cha kwanza kina wengi wenye 30+
Majeruhi kila kukicha. Usajili wa maana unahitajika
Mkuu Numby bado upo RM? au ulihama na CR7?
HahaaaaHapa ndo home,Nipo madrid na kwa CR7 ila sio juve
Tatizo conte atamzibia hazard kuhamia madrid,hawa wawili hawapatani
Madrid tatizo kubwa sio kocha bali wachezaji viwango. Msimu huu wachezaji wengi umri mkubwa,ila sasa baada ya kuuzwa mmoja, kelele za umri zikapungua watu wamejisahau kuwa kikosi cha kwanza kina wengi wenye 30+
Majeruhi kila kukicha. Usajili wa maana unahitajika
Madrid tatizo sio kocha tatizo ni siasa za mpira za rais wenu.. Ukitaka kuona angalia performance ya madrid uefa vs laliga.
Perez anafanya siasa kuuvunja mkataba wa kocha legally kwani objectives hatokuwa amefikisha na madrid wataendelea kuboronga laliga hadi kocha atakapo ondoka, lkn hawataweza ku risk uefa.
Politicball.
Mkuu hata msimu uliopita madrid ilikua moto UEFA kuliko la liga. Just sema tatizo ni Perez utaeleweka.
UEFA watarisk wakiendelea na mambo haya,maana kila hatua ndo ugumu wa mechi unaongezeka zaidi,hope amani itapatikana soon na timu kukaa sawa.
Naona hata zidane alishindwa kupelekeshwa,ila huyu kocha hadi huruma kisa madrid akahatarisha kibarua cha kule FA ya hispania daah
Maisha ya Lopetegu ndani ya Real Madrid yataamuliwa ndani ya El classico
Madrid kushinda mchezo wa el classico ni bahati nasibu ngoja tuone itakavyokuwaKama ni hivyo naomba Madrid washinde El Classico
Labda Muandazi arthur melo apate dharura hasiwepo kwenye sherehe maana kama namuona babu luka maduara atakavyokuwa anavuta jezi ya mgawaji chakulaKama ni hivyo naomba Madrid washinde El Classico
Tuko pamojaHapa ndo home,Nipo madrid na kwa CR7 ila sio juve
Arthur Melo bado hajaiva kuchuana na akina Toni na Modric anabebwa na uwepo wa mess uwanjan. Subir kesho uone.majirani jiandaeni kisaikolojia maana babu luka maduara ameshajiandaa na jumapili yule kijana kutoka kijijini Gremio fundi cherehani arthur melo kama kawaida yake ndio atakuwa muandazi wa kugawa chakula cha msiba maana ana roho mbaya itakuwa yule mupe,yule mupe na yule muruke....atakuwa anafanya unyangindo mbele ya mademu zenu