sergio 5
JF-Expert Member
- May 22, 2017
- 9,727
- 11,109
Real betis Jana wamemu baka zizzouAsensioooooooooooo
Real betis Jana wamemu baka zizzouAsensioooooooooooo
Masela Jana wamemgonga zidane mbele na nyumaAsensioooooooooooo
AsensioooooooooooMasela Jana wamemgonga zidane mbele na nyuma


Hahahahhahahaha kweli imeivunja banaRecord ya Pele na Santos yake iliyodumu kwa miaka 54 tumeshaikamata baada ya full circle tulianzia Anoeta na tumeitimizia Anoeta jana sasa J'5 tunaianza yakwetu.
HALLA MADRID!!!!
Hahahahahhaah kweli bana mmeshinda aseeeHala madrid.... Leo inabidi tushindi ili tuendelee kujiweka kwenye nafasi zaidi....
Real betis pigs hao mashogaAsensiooooooooooo
AsensioooooooooooReal betis pigs hao mashoga
Ilikuwa Soft hiyo, alafu aka Dive kama GaynaldoPenalty or No penalty?
![]()
Basi ka vipi chukueni filimbi basHii hapa
![]()
Ndo mshapotea hivyo....la liga muisahau na msimu huu hakuna kombeHiki kipigo kinauma sana....nina imani kitatuamsha...timu nzima ilikuwa kwenye utamu wakusign mikataba mipya bhana...wametuchafulia record yetu
maneno yako ni dalili ya hio tabiaHaiwezekani hata siku moja Timu inayotegemea Mashoga wakupe matokeo mazuri, Shoga CR7 baada ya kutoka Morocco akawa bado anau waruwaru akapotea kabisa kwenye mechi.....Hili litimu lishakufa tayari na nashauri Zidane atimuliwe tu na Timu ivunjwe tu
Laliga muisahau tu, na saizi Perez hana pesa za kuhonga teeenaHabarini madridstas wenzangu...naamini wote wazima humu ndani, hii mechi ya Leo Na Betis imenisikitisha sana vijana wetu hawakuwa makini kabisa na Kwa mantiki ya wazi kabisa Kwa Gap la point 7 mapema kabisa katika LaLiga Table in a TWO TEAMS RACE(with Barca) Tayari Tumepoteza 80% za kutwaa ubingwa(ingekuwa ni EPL sawa na sio kwa spain) tena mapema sana mwa msimu huu mpya...Kwa sababu ili tuwe nao sawa tu kwenye msimamo na sio kuwazidi inabidi wapoteze games 2 na kutoa draw game 1 au wapoteze game 1 na kutoa suluhu 4 na kama ni suluhu tupu watoe draws 7, na hii kimantiki si kitu kizuri kwenye harakati za kuwania ubingwa maana tutakuwa watumwa katika kila matokeo ya ushindi Wa wenzetu tukiomba wapoteze kila wanapocheza...Kwa maana nyengine WE LOST ABOUT 80% FOR CHANCES OF CLAIMING LALIGA-TITLE IN 2017/2018...Sijui tutafidia vipi hili Gap infact kiubinadamu hatuwezi kushinda mechi karibia zote zilizo mbele yetu maana lazima ata suluhu zitahusika tu...'am feeling really bad for this!!!
Dont worry be happy "you win battles not petty wars" as you once said.It was worse offensively. We all know our defense is always shaky and hot heads who can hardly maintain the discipline, and the only way to cover them is to put away chances created. The team created many chances that were missed and eventually we paid the price. BBC are given too much immunity and they're hurting the team. Ronaldo did not deserve to play a full game tonight, but Modric who was our best player had to be sacrificed. Zidane is doing a great job, but he needs to man up sometimes.