Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,653
Dont worry be happy "you win battles not petty wars" as you once said.
Don't put words on me. I would never say that crap.
Dont worry be happy "you win battles not petty wars" as you once said.
Ligi bado mbichi sana hiiNdo mshapotea hivyo....la liga muisahau na msimu huu hakuna kombe
Sorry wana Madrid, hivi hii issue ya wachezaji 12 uwanjani katika mechi ya jana ilikuwaje? Sikuona hiyo mechi
Niliicheck hii mechi kuanzia dakika ya 54, ilinichukua dakika 3 kugundua ilikuwa ni LIVE na sio highlights baada ya mechi kuisha, mtu yoyoye aliyeangalia hii mechi aliona jinsi ilivyokuwa na spidi .. hio scenario ya wachezaji 12 ilitokea dakika za 70 mwanzoni hapo ,ilikuwa substitution anatoka Mordic na kuna mchezaji mwingine alikuwa anaingia ila ilitokea miscommunication huyo mchezaji akawa ameshaingia kabla Mordic hajatoka, ila Mordic alitoka kabla mechi haijaendelea.. From Neutral point of view ilikuwa mechi nzuri sana na yule winga wa Betis aliyetoa assist ya goli angekuwa makini labda madrid wangekufa goli nyingi zaidiView attachment 592861 Madrid waliamua kucheza 12 uwanjani na bado wakafungwa
Yap, dogo hakutulia tu, alipata chance akazuiwa na ramos, then casemiro Twice kwa Style hiyo hiyoNiliicheck hii mechi kuanzia dakika ya 54, ilinichukua dakika 3 kugundua ilikuwa ni LIVE na sio highlights baada ya mechi kuisha, mtu yoyoye aliyeangalia hii mechi aliona jinsi ilivyokuwa na spidi .. hio scenario ya wachezaji 12 ilitokea dakika za 70 mwanzoni hapo ,ilikuwa substitution anatoka Mordic na kuna mchezaji mwingine alikuwa anaingia ila ilitokea miscommunication huyo mchezaji akawa ameshaingia kabla Mordic hajatoka, ila Mordic alitoka kabla mechi haijaendelea.. From Neutral point of view ilikuwa mechi nzuri sana na yule winga wa Betis aliyetoa assist ya goli angekuwa makini labda madrid wangekufa goli nyingi zaidi
Niliicheck hii mechi kuanzia dakika ya 54, ilinichukua dakika 3 kugundua ilikuwa ni LIVE na sio highlights baada ya mechi kuisha, mtu yoyoye aliyeangalia hii mechi aliona jinsi ilivyokuwa na spidi .. hio scenario ya wachezaji 12 ilitokea dakika za 70 mwanzoni hapo ,ilikuwa substitution anatoka Mordic na kuna mchezaji mwingine alikuwa anaingia ila ilitokea miscommunication huyo mchezaji akawa ameshaingia kabla Mordic hajatoka, ila Mordic alitoka kabla mechi haijaendelea.. From Neutral point of view ilikuwa mechi nzuri sana na yule winga wa Betis aliyetoa assist ya goli angekuwa makini labda madrid wangekufa goli nyingi zaidi
Sawa mtabiri.Msimu huu UEFA mtatoka mapema sana.
UEFA ipi?? ..huu ni msimu wa njaa kwenu aiseeMatokeo ya jana japo yameniuma ila bado imani ipo kiasi. Kwa namna nyingine tukomae na UEFA ili tuzidi kutengeneza historia iliyotukuka.
UEFA ipi?? ..huu ni msimu wa njaa kwenu aisee
Cr7 mpira umeanza kwisha. .bale naye hamna kitu kwa sasa ...Messi ana goli zake tatu apo Santiago
hapo pa kikosi kilekile na kocha yuleyule ndipo penye tatizo. Wapinzani wenu wengi wamebadilika nyie mnabaki vilevile!! Ila kiuhalisia hampo vilevile wapi Morata na James. Morata aliyefunga goli nyingi kwenye timu nyuma tu ya Ronaldo huku akiwa na uwiano wa ajabu wa goli/minutes.Kikosi kile kile kilichotuletea mataji kocha yule yule hatupaswi kuhofia ligi bado mbichi sana nauhakika hapo kama wametuamsha. Kufungwa nayo ni moja ya matokeo.