Re: Ujinga

ni ujinga mpaka leo hii kuna mijitu inavaliana nguo za kuazima mda viatu
 
Hapo kwenye bold, unanikumbusha avatar ya Yo Yo ilivyonipa taabu nilipoiona mara ya mwanzo! Sikutumia arrow ya mouse ila kidole changu kufukuza mdudu kwenye screen!

hahaaa haaaa hata mimi ilinipa shida Avatar ya Yo Yo...
 
Ujinga ni kuchukua mwanamke mkubwa(jimama) kuzidi upana wa mlango wako.
 
Ni ujinga Madokta kuona raha kuendelea kugoma wakati watu wanakufa ilhali meshawekewa ahadi ya kuhakikisha waziri anawajibishwa
 
ni ujinga kulala na mwanamke hoteli halafu unaibiwa na huyo mwanamke kisha unazingizia wenye hoteli
 
Ni ujinga kutumia avator ya mtu kufikiri kuwa ni mbaya
 
Ujinga ni kughadhabika baada ya mchango wako kupondwa hapa jf wakati ni siri yako na hakuna mtu wa karibu anayefahamu hilo
 
Ujinga ni kuangalia tamthiliya au movie mpaka kulia wakati ni dhahir unajua kwamba kina cho igizwa humo ni urongo/uongo.

Well movie nyingine zinakuwa based on true story, hata hivyo mara nyingi zinakuwa na mambo yanayogusa hisia za huyo mtu kwa vitu anavyovijali.
 
Well movie nyingine zinakuwa based on true story, hata hivyo mara nyingi zinakuwa na mambo yanayogusa hisia za huyo mtu kwa vitu anavyovijali.

ujinga saaana kula ndizi na maganda.........si uache tu.
 
ujinga ni kuwa shabiki wa timu za ulaya za ulaya utazani huna hisa au wanakujua katika timu hizo. ujinga ni kuogopa kifo wakati kifo ni sure event.
 
Ujinga ni kumwamsha mgonjwa ili anywe dawa ya usingizi
 
Ujinga ni kujamb ukiwa pekeako na kuhama sehem hyo eti pananuka.
 
Ujinga ni kumwamsha mgonjwa ili anywe dawa ya usingizi

nina siku ya3 sija smile, baad ya refa wa azam kunichefua pale u.wa taifa. Leo ndo nimecheka bcoz of u.thanx
 
Ujinga ni kukubali kuwa chungwa kwa English ni Orange wakati Carrot ndo ina rangi halisi ya Orange!
 
ujinga ni kuzima taa wakati wa kufanya m.a-p.e-n.z-i ili usimuone mwenzako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…