Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
- Thread starter
- #41
Bwege wewe usie na akili hata kiduchu. Nimekuuliza unao uhakika kuwa aliiba milango?Ndugu acha ujinga,
Ina maana wewe ukisema alipigwa ndani ya ofisi ya kata ndio ushahidi tosha. Wewe nani?...
Mtendaji wa kata anaruhusiwa kisikiliza kesi ya jinai?
Wewe mwizi akikuibia kama ukitaka kuchukua sheria mkononi shauri yako.
Mpuuzi usie na akili unajifanya kujadili masuala usioyajua.