Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,796
hata lile pagala langu linaweza kumalizwa na CCM22 hivi
Jr
PAMOJA NA KUWA HAJUI KUIMBA, LAKINI HAYUMBISHWI NA CHEO CHA MTUWakazi ni steve nyerere wa bongofleva, kuimba hajui ila kelele nyingii.
Naanza kufikiri kuwa wengi humu wameanza kumfahamu Wakazi baada ya album yake ya kisimani, hawajui kuwa Wakazi amefanya mengi na ana achievements nyingi kuliko rappers wengi tu tz
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao wasanii wana magroup yao huko WhatsApp.Hana point huyo...hao wasanii huwaga wanashinda instagram muda wote sasa ukiwaandikia barua wataipata vipi iwapo wanashinda insta?
Bashite kwa hilo yupo sawa
Mwambie Bashite sasa unaniambia mmHao wasanii wana magroup yao huko WhatsApp.
Andika barua, mpe kiongozi wao yeye ataipresent huko..
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ulikuwa unamwambia bashite?Mwambie Bashite sasa unaniambia mm
imebaki miezi mingapi tufikie uchaguzi vile?
Uchaguzi wa Serikali za mitaa umebaki miezi 8 hivi22 hivi
Jr
Hizi ni enzi Bashite akiwa na nguvu zisizoelezeka. Namshukuru Mungu kwa kutuondolea huyu dhalimu bashite na baba yake kwenye utawala wa nchi yetu. Wasanii waliteseka sana kimyakimya. Bahati nzuri kwa sasa na wao wanamdharau na hawamjali.
SureHili jiji sio la kispotispoti, ukija kutoka huko kwenu Kandambili lazima uheshimu watu aisee