Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,596
- 45,225
Dodoki...hasa lile la porini ni zuri sana kwa kusafishia kuliko haya ya plastikiš
Chagua sasakwahy n bora kuwa nani kat ya dodoki na toilet paper ?
Ndiyo kuna shida.. tena kubwaa! huwezi kuitisha kikao na wasanii halafu badala kuzungumzia changamoto zao na pia umewaita halafu unaanza kumuongelea mtu mmoja ambaye yuko mbali na nchi kuwa yeye anavuta!. inamaana aliwaita wasanii kuwaeleza kuwa konde boy anavuta!..kuna shida kwenye hilo?
Wakazi haimbi anarapWakazi ni steve nyerere wa bongofleva, kuimba hajui ila kelele nyingii.