RC Makalla achana na Makonda vinginevyo utakwenda na maji

Baada ya ziara ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ndugu Paul Makonda kufikia tamati huko Mkoani Mwanza, yapo maagizo halali ya Chama aliyoyaelekeza kwa Watendaji wa Serikali Mkoani humo wayatekeleze kwa maslahi mapana ya Wananchi.

Ajabu, Mkuu wa Mkoa huo ameanza kupuuza huku akimnanga bwana Makonda kwa kusema yeye atawajibika kwa Waziri Mkuu na Rais pekee na si vinginevyo.

Nakusihi ndugu yangu Makala, tafadhari, zizuie chuki zako ulizonazo kwa Makonda na pekee fanya ama tekeleza maagizo halali ya Chama kwako kama Mtendaji uliye chini ya CCM.

Wakati huu ni muhimu ukubaliane na halihalisi ya kuwa Makonda ni Kongozi wako wa Chama na kupuuza maagizo yake ni sawa na kukipuuza Chama!

Tenda ama tendwa. Chaguo ni lako.
Wewe bibi mbona uchambuzi wako umegonga ukuta? Makala ni mwenezi sasa
 
Baada ya ziara ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ndugu Paul Makonda kufikia tamati huko Mkoani Mwanza, yapo maagizo halali ya Chama aliyoyaelekeza kwa Watendaji wa Serikali Mkoani humo wayatekeleze kwa maslahi mapana ya Wananchi.

Ajabu, Mkuu wa Mkoa huo ameanza kupuuza huku akimnanga bwana Makonda kwa kusema yeye atawajibika kwa Waziri Mkuu na Rais pekee na si vinginevyo.

Nakusihi ndugu yangu Makala, tafadhari, zizuie chuki zako ulizonazo kwa Makonda na pekee fanya ama tekeleza maagizo halali ya Chama kwako kama Mtendaji uliye chini ya CCM.

Wakati huu ni muhimu ukubaliane na halihalisi ya kuwa Makonda ni Kongozi wako wa Chama na kupuuza maagizo yake ni sawa na kukipuuza Chama!

Tenda ama tendwa. Chaguo ni lako.
We chawa umejisikiaje baada ya makala kuchukua nafasi ya boss wako?
 
Nakusihi ndugu yangu Makala, tafadhari, zizuie chuki zako ulizonazo kwa Makonda na pekee fanya ama tekeleza maagizo halali ya Chama kwako kama Mtendaji uliye chini ya CCM.

Wakati huu ni muhimu ukubaliane na halihalisi ya kuwa Makonda ni Kongozi wako wa Chama na kupuuza maagizo yake ni sawa na kukipuuza Chama!
Hivi wewe Suzy Elias huwa unajaribu kurudi nyuma na kusoma pumba zako unazoharisha?

Soma tena ujinga wako hapo juu
 
Watoto wa mjini wameshinda dhidi ya washamba toka Kanda pendwa.
Kwakweli bado watoto wa mjini ndio wameshika mpini !

Lakini kila chenye mwanzo na mwisho upo tu. !
Just a matter of time .
Dunia ni rangilangire !🙏🙏
 
Baada ya ziara ya Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ndugu Paul Makonda kufikia tamati huko Mkoani Mwanza, yapo maagizo halali ya Chama aliyoyaelekeza kwa Watendaji wa Serikali Mkoani humo wayatekeleze kwa maslahi mapana ya Wananchi.

Ajabu, Mkuu wa Mkoa huo ameanza kupuuza huku akimnanga bwana Makonda kwa kusema yeye atawajibika kwa Waziri Mkuu na Rais pekee na si vinginevyo.

Nakusihi ndugu yangu Makala, tafadhari, zizuie chuki zako ulizonazo kwa Makonda na pekee fanya ama tekeleza maagizo halali ya Chama kwako kama Mtendaji uliye chini ya CCM.

Wakati huu ni muhimu ukubaliane na halihalisi ya kuwa Makonda ni Kongozi wako wa Chama na kupuuza maagizo yake ni sawa na kukipuuza Chama!

Tenda ama tendwa. Chaguo ni lako.
Haya sasa....

Kimeumana!
 
Unataka kusema anchojua Dar ndiyo kipo Mwanza?
UVCCM mnashupaza shingo na hamna uelewa wa mambo madogo tu.
Haya, kumbuka alikuwa DAR kipindi cha Dikteta, na mambo mengi alifanya nje ya sheria of which ndicho anatakkata hata sasa kufanya.
Hatimaye... Kimeumana!
 
Makala ujifunze kitu hapa
 

Attachments

  • IMG-20240404-WA0001.jpg
    IMG-20240404-WA0001.jpg
    39.9 KB · Views: 1
Tonge La Mwisho Ndiyo La Kukombea Mboga
Sasa Makala Anaweza Kupoteza Tonge Lake Hata Kama Anayeagiza Ni Muhuni Pokea/Tekeleza Chap Chap
Matokeo yake, meza imepinduliwa....

Karma is a bitch...
 
Back
Top Bottom