ipyax
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 4,042
- 6,295
The don is gone
No more is one
Struggle goes on
Samia gona be one
Sorry the king is gone!
The don is gone
No more is one
Struggle goes on
Samia gona be one
Sorry the king is gone!
Mbona yeye hakumuombea Ben Saanane abadilike? Na Lissu je?Watu wana matatizo binafsi.
Mtu ambaye humpendi muombee abadilike.
Kwanza haina kichwa wala miguuuNinesoma kwamakini sana hii taarifa nimegundua iko sahihi maana haina tarehe wala siku ya kuanza hiyo ziara.
Nimekuelewa sana John
Wao ndiyo binadamu pekee wa kuombewaMbona yeye hakumuombea Ben Saanane abadilike? Na Lissu je?
Tumebaki na MITANDAO tu ambayo angalau inathubutu kuhoji, kutoa mawazo mbadala, inakosoa, hayo mnayofanya serikali. BUNGE mmeua.Mkuu wa mkoa wa Mbeya Albert Chalamila amesema Waziri Mkuu, Mhe. Majaliwa anaanza ziara ya siku mbili mkoani Mbeya.
Akiwa mkoani Mbeya Mhe. Majaliwa atafungua Jengo la Mama na Mtoto jijini Mbeya, atafungua hospitali iliyoahidiwa na Rais Magufuli wakati wa kampeni wilayani Rungwe na atafungua kituo cha pamoja cha forodha (One stop center) wilayani Kyela.
Aidha, Chalamila amemshukuru sana Rais Magufuli kwa kutimiza ahadi yake ya kujenga hospitali Wilayani Rungwe yenye thamani ya Tsh. 481 milioni.
Source Channel ten tv
Maendeleo hayana vyama!
Tngu zamani siyo mzungukaji.Hivi Mama Sammy mbona sioni yeye akizunguka hapa na pale?🤔
Mkuu wa mkoa wa Mbeya Albert Chalamila amesema Waziri Mkuu, Mhe. Majaliwa anaanza ziara ya siku mbili mkoani Mbeya.
Akiwa mkoani Mbeya Mhe. Majaliwa atafungua Jengo la Mama na Mtoto jijini Mbeya, atafungua hospitali iliyoahidiwa na Rais Magufuli wakati wa kampeni wilayani Rungwe na atafungua kituo cha pamoja cha forodha (One stop center) wilayani Kyela.
Aidha, Chalamila amemshukuru sana Rais Magufuli kwa kutimiza ahadi yake ya kujenga hospitali Wilayani Rungwe yenye thamani ya Tsh. 481 milioni.
Source Channel ten tv
Maendeleo hayana vyama!
Mkuu wa mkoa wa Mbeya Albert Chalamila amesema Waziri Mkuu, Mhe. Majaliwa anaanza ziara ya siku mbili mkoani Mbeya.
Akiwa mkoani Mbeya Mhe. Majaliwa atafungua Jengo la Mama na Mtoto jijini Mbeya, atafungua hospitali iliyoahidiwa na Rais Magufuli wakati wa kampeni wilayani Rungwe na atafungua kituo cha pamoja cha forodha (One stop center) wilayani Kyela.
Aidha, Chalamila amemshukuru sana Rais Magufuli kwa kutimiza ahadi yake ya kujenga hospitali Wilayani Rungwe yenye thamani ya Tsh. 481 milioni.
Source Channel ten tv
Maendeleo hayana vyama!
Sawa lakini wiki mbili tatu hzi haonekan nae, au kwa sabab ni mwanamke ni rahisi kumchora kama kuna tatizo kubwa?🤔Tngu zamani siyo mzungukaji.
Ileje bado ipo MbeyaRatiba hii hapa ya tarehe 14 imeshayumba tusubiri ya leo
Hata tumbo haina. Ipo ipo tu.Kwanza haina kichwa wala miguuu
Kwa vile hakusema Watanzania wamuombee nini. Basi wame muombea hilo Mungu alilo ombwa.Wao ndiyo binadamu pekee wa kuombewa
KabisaKwa vile hakusema Watanzania wamuombee nini. Basi wame muombea hilo Mungu alilo ombwa.
Mafanikio yake makubwa haya...kutengeneza MATAGA (watu wanaoamini ukibwabwaja-bwabwaja mitandaoni utaonekana na kutoboa). Selfish people, hawajali umoja wa kitaifa wala maendeleo ya Taifa, isipokuwa maendeleo ya matumbo yao.Watu wana matatizo binafsi.
Mtu ambaye humpendi muombee abadilike.
Roho mbaya itakuua.Mafanikio yake makubwa haya...kutengeneza MATAGA (watu wanaoamini ukibwabwaja-bwabwaja mitandaoni utaonekana na kutoboa). Selfish people, hawajali umoja wa kitaifa wala maendeleo ya Taifa, isipokuwa maendeleo ya matumbo yao.
Haya tuambie, zile risasi za Lissu, kilichowakuta akina Azory, Roma, nk yalikuwa ni maombi ya dini gani?..."What goes around comes around"
Turudi kwenye drawing board tuone wapi tulikosea
Eti sasa wewe ulitakaje katika hali iliyopo 🤣🤣Roho mbaya itakuua.
Sasa wewe ulitakaje katika hali iliyopo.
Roho za korosho na visasi havijawahi kumpaisha mtu.