Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 4,730
- 11,085
Nipo Tabora leo ni siku ya tatu nikifanya kazi maalumu ili kuendelea kulijenga taifa. Kinachonisaidia ni kuwa nina powerbank tatu, toka nimefika Tabora umeme unakatwa asubuhi na kurudi usiku saa nne, na muda Mwingine unaweza kukatwa hata mara sita.
Nauliza mkuu wa Mkoa, Batilda Buriani hili tatizo la umeme hulioni au kwakuwa Tabora hakuna viwanda?
Nauliza mkuu wa Mkoa, Batilda Buriani hili tatizo la umeme hulioni au kwakuwa Tabora hakuna viwanda?