Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima, ametoa namba yake ya simu ya kiganjani kwa wananchi wa mkoa huo kwaajili ya kutoa taarifa au kutuma ujumbe mfupi pale wanapouziwa sukari kwa bei ya juu tofauti na bei elekezi ya sh 2700 hadi 3200 na wafanyabiashara ili waweze kukamatwa na kuchukuliwa hatua za kisheria.
Malima ametoa namba yake katika maadhimisho ya Kumbukizi ya miaka 47 ya kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) iliyofanyika kimkoa katika Manispaa ya Morogoro.
Source - Nipashe
Malima ametoa namba yake katika maadhimisho ya Kumbukizi ya miaka 47 ya kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) iliyofanyika kimkoa katika Manispaa ya Morogoro.
Source - Nipashe