RC atoa namba yake kwa wananchi wampe taarifa wanapouziwa Sukari kwa bei ya juu (Kukamata Wauzaji)

Mjanja M1

JF-Expert Member
Oct 7, 2018
3,660
12,304
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima, ametoa namba yake ya simu ya kiganjani kwa wananchi wa mkoa huo kwaajili ya kutoa taarifa au kutuma ujumbe mfupi pale wanapouziwa sukari kwa bei ya juu tofauti na bei elekezi ya sh 2700 hadi 3200 na wafanyabiashara ili waweze kukamatwa na kuchukuliwa hatua za kisheria.

Malima ametoa namba yake katika maadhimisho ya Kumbukizi ya miaka 47 ya kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) iliyofanyika kimkoa katika Manispaa ya Morogoro.

Source - Nipashe
 
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima, ametoa namba yake ya simu ya kiganjani kwa wananchi wa mkoa huo kwaajili ya kutoa taarifa au kutuma ujumbe mfupi pale wanapouziwa sukari kwa bei ya juu tofauti na bei elekezi ya sh 2700 hadi 3200 na wafanyabiashara ili waweze kukamatwa na kuchukuliwa hatua za kisheria.

Malima ametoa namba yake katika maadhimisho ya Kumbukizi ya miaka 47 ya kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) iliyofanyika kimkoa katika Manispaa ya Morogoro.

Source - Nipashe
Wanaogoopa nini kuiweka hapa
 
ningepewa nchi hii , wafanyabiashara wangekomaa
Shida ni kwamba ukiwawndea pupa wanakimbia utafanyaje? Kumbuka kabla ya Mwendazake sukari ilikuwa haisumbui ila alipoanzaga kuingilia soko ndio Hadi Leo hii haijawahi tengamaa Kwa sababu Sheria zilizopitishwa zimewapa viwanda ndio wawe wanaagiza badala ya wafanyabiashara
 
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Adam Malima, ametoa namba yake ya simu ya kiganjani kwa wananchi wa mkoa huo kwaajili ya kutoa taarifa au kutuma ujumbe mfupi pale wanapouziwa sukari kwa bei ya juu tofauti na bei elekezi ya sh 2700 hadi 3200 na wafanyabiashara ili waweze kukamatwa na kuchukuliwa hatua za kisheria.

Malima ametoa namba yake katika maadhimisho ya Kumbukizi ya miaka 47 ya kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) iliyofanyika kimkoa katika Manispaa ya Morogoro.

Source - Nipashe
Wanaujua ujinga wa watanzania, kwa ujinga wao watachukua namba.
 
Back
Top Bottom