Rayvanny ni bingwa wa mapini ya slow

Rayvanny ni bingwa wa mapini ya slow

Rayvanny anaimba huyo mwamba , hyo naogopa alipaswa amshirikishe rihana alaf ex boyfriend amshirikishe Arianagrand , kubabake hyo burst ya hapo ni hakunaga , af sjui kwa nn mhhy alimuuzia wily paul
 
Rayvanny anaimba huyo mwamba , hyo naogopa alipaswa amshirikishe rihana alaf ex boyfriend amshirikishe Arianagrand , kubabake hyo burst ya hapo ni hakunaga , af sjui kwa nn mhhy alimuuzia wily paul
Hiyo mmh ni yake kabisa huyo Willy Paul hawezi kujivunia, maana Melody yote ni ya 'sikupendi'. Sema Rayvanny angekomaa zaidi na nyimbo za slow kuliko makelele ya sijui Pochi Nene

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli mimi siwezi kuacha kusikiliza Slow Jams za 90's&2000's nikaja kusikiliza hizo kelele za huyo bwn mdogo.

Inshort bongo fleva sisikilizagi.

Ni mtizamo wangu.

Sent from my SM-J700H using Tapatalk
Si ungekausha tu kilichokufanya ukomenti hapa nini na ma-old yako?
 
Back
Top Bottom