Rayvanny ni bingwa wa mapini ya slow

Rayvanny ni bingwa wa mapini ya slow

Kwa sasa ni moja ya wasanii wanaonikosha sana kwa mapini ya kubembeleza, kama humjui vizuri sikiliza hizi ngoma usipozielewa hata nusu yake nakurudishia hela ya bando;

1. Slow
2. Sikupendi(mhh mhhh)
3. Naogopa
4. Siri
5. Mbeleko
6. I love u
7. Teamo
8. Mama la Mama


Sent using Jamii Forums mobile app
Nyimbo za kawaida tu hizo mbona kuna madogo wengi tu siku hiz wanaimba nyimbo kali zaidi ya hiz sema ndo hivy wanakosa pesa ya promotion
 
Mimi binafsi Rayvanny ndiye msanii wa WCB ninayemkubali kuliko wooote
 
Hiv WCB walikulawiti Nini? SEMA tu ukweli maana si kwa hasira hizo mpaka watu humu wamekukariri.
Mkuu ni vyema kucotro Mihemko yako, kukutolea maneno ya kashifa na kukuandama kwa kejeri naweza sana yani tumo humu for fan hakuna analipwa kama Umeshindwa Battle ni bora ukae kimya Coment au post zangu uwe unazipita kimya kimya..

Kama unajiweza pia tukae humo humo kwenye Battle ya kashifa na matusi najiweza na nakumudu
 
Mkuu ni vyema kucotro Mihemko yako, kukutolea maneno ya kashifa na kukuandama kwa kejeri naweza sana yani tumo humu for fan hakuna analipwa kama Umeshindwa Battle ni bora ukae kimya Coment au post zangu uwe unazipita kimya kimya..

Kama unajiweza pia tukae humo humo kwenye Battle ya kashifa na matusi najiweza na nakumudu
Me nimeuliza tu mbona umepaniki kiasi hicho na sio tu Mimi pekee ninaejiuliza swali Kama Hilo basi Kama sio hiyo sababu basi tuambie sababu ipi inayokufanya uwe na chuki iliyopitiliza kwa WCB?
 
Me nimeuliza tu mbona umepaniki kiasi hicho na sio tu Mimi pekee ninaejiuliza swali Kama Hilo basi Kama sio hiyo sababu basi tuambie sababu ipi inayokufanya uwe na chuki iliyopitiliza kwa WCB?
Usijifanye hujui Chuki Ilianza baada ya Diamond kunichukulia Poneo langu Juma Lokole(Innocent dependent) iliniuma sana nilikua najipakulia taro kiulaini.
 
Back
Top Bottom