Rayvanny ni bingwa wa mapini ya slow

Rayvanny ni bingwa wa mapini ya slow

Yote tisa,huyu mtoto ana sauti nzuri hatari. Mie ndo nnachompendea japo nachukia anavyoimba matusi na kumwanika yule mke wake nusu uchi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa sasa ni moja ya wasanii wanaonikosha sana kwa mapini ya kubembeleza, kama humjui vizuri sikiliza hizi ngoma usipozielewa hata nusu yake nakurudishia hela ya bando;

1. Slow
2. Sikupendi(mhh mhhh)
3. Naogopa
4. Siri
5. Mbeleko
6. I love u
7. Teamo
8. Mama la Mama


Sent using Jamii Forums mobile app
Nitajaribu kutafuta ivyo vibao vyake

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
Kwa sasa ni moja ya wasanii wanaonikosha sana kwa mapini ya kubembeleza, kama humjui vizuri sikiliza hizi ngoma usipozielewa hata nusu yake nakurudishia hela ya bando;

1. Slow
2. Sikupendi(mhh mhhh)
3. Naogopa
4. Siri
5. Mbeleko
6. I love u
7. Teamo
8. Mama la Mama
9. Wasiwasi
10. Ex Boyfriend


Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahaha labda wa zogo za nyegezi na tetema sio slow nazo zijuwa mimi ... bedroom ft Harmonize jeshi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom