Ray Kasababisha gharama za maji kupanda mpendwaHahsaaaaa...weupe wake unatokana na nini???
From my heart, simpendi Ray.
Ha ha ha. Shikamoo Maji. Lol! Eti uhamie baharini kabisaaa??Hapa baada ya kusikia hiyo taarifa nimewapigia sim Kisima waniletee kontena la maji na nimetoa oda nyingine walete semi wiki ijayo maana haya ya leo hayatamaliza wiki.
Nataka kua zeruzeru kwa kunywa maji, kwa siku napiga lita 40 za maji, sitaki mchezo kabisa, ikishindikana nahamia baharini ili kwa wiki tatu zijazo niwe zeruzeru kabisa.
Wanawake wengi wenye kuelewa wanawapenda wanaume halisi, hawawapendi wanaume artificial!From my heart, simpendi Ray.