Mkuu inaonesha gari unazonunuaga ni vimeo....uliza wangapi wenye magari walishawahi kubadili hizo mambo zaidi ya kuskia tu kwa watu kama nyie
hapana duet bado inakula mafuta, anunue vile vigari vinaitwa Smart cc 450
Mkuu xtrail siku hizi zipo nyingi sana, na spare zake sio tatizo kama unavyofikiria, na ni genuine, sio kama za rav4 ambazo spare magumashi zimejaa madukani. Kuhusu uuzaji wa rav4 kuwa inauzika kirahisi, sidhani kama ni kweli, mnunuzi mwenye busara anaangalia ubora wa gari na si urahisi wa gari
Nipo kijjn singida rough road about 50 km from town natumia xtrail mafuta haili kabisa nina mwaka now cjapata tatizo lolote, inategemea umeinunua wapi hiyo xtrail SBT japan ndo mpango mzima, my friend has Rav4 New model haipiti miez 2 bila yy kushinda garage na inamtesa mafuta pia
Vip kuhusu harrier ukilinganisha na rav 4 na xtrail
Wenzako wanazungumzia magari used we unaleta habari za magari mapya!!!
Hakuna rav4 mpya ya 2000cc mkuu. Labda kama zimeanza kutengenezwa jana!View attachment 139285
Sio kweli, ulaji wa mafuta wa xtrail ni around 10km/L, usipotoshe wenzio
Habari wadau,
Naombeni msaada wenu kati ya rav4 na xtrail..ipi iko nzuri brbrb ie fuel consumption,speed,durability ,spares na ubora,kama 4wd au 2wd?
Nadhani kwa hizo zote niwe Mkweli nahusudi Suzuki Escudo New Model kasoro bei yake nadhani ndio maana nyingi bado STK nad SUVip kuhusu harrier ukilinganisha na rav 4 na xtrail