Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,733
- 218,317
Tundu Lissu ambaye ripoti za kuaminika zinaonyesha kwamba ndiye Mwanasheria bora kabisa kuwahi kuwepo kwenye eneo la Maziwa Makuu tangu kuumbwa kwa mbingu na ardhi , ataanza ziara ndefu ya kimkakati kwenye nchi za Ulaya na Marekani ili kuieleza dunia kilichotokea kwenye shambulio lake , wahusika wote na waliowatuma kutenda uovu ule na hali ya kisiasa ilivyo nchini Tanzania kuanzia muda huo hadi sasa
Hii ndio ratiba ya ziara yenyewe :
.......... .. .......................................
Kuanzia January 14 amealikwa na Shirika la utangazaji la BBC mjini Brussels ambapo pamoja na kuongea na BBC pia imeelezwa kwamba amepata mwaliko mwingine wa kuonana na viongozi wa juu kabisa wa jumuiya ya Ulaya ( EU )
Baada ya kumaliza hili taarifa zinaonyesha kwamba amepewa mwaliko mwingine mapema February wa kuonana na maofisa wa ngazi ya juu kabisa wa serikali ya Marekani huko Washington , ambako kutakuwa na mazungumzo yatayochukua angalau wiki moja
Taarifa zaidi kuhusu ziara hii muhimu ya Mh Tundu Lissu ambaye pia ni Mwanasheria wa Chadema itaendelea kuboreshwa kwa kadri tunavyoletewa habari za ziara yake kwenye nchi mbalimbali.
Mungu mbariki mtumishi wako Tundu Lissu
UPDATES
...................
1.BBC : HARD TALK , Tayari
2.DW , Tayari
3.USA , Ndio habari inayobamba
4................
Kaeni mkao wa kula .
Hii ndio ratiba ya ziara yenyewe :
.......... .. .......................................
Kuanzia January 14 amealikwa na Shirika la utangazaji la BBC mjini Brussels ambapo pamoja na kuongea na BBC pia imeelezwa kwamba amepata mwaliko mwingine wa kuonana na viongozi wa juu kabisa wa jumuiya ya Ulaya ( EU )
Baada ya kumaliza hili taarifa zinaonyesha kwamba amepewa mwaliko mwingine mapema February wa kuonana na maofisa wa ngazi ya juu kabisa wa serikali ya Marekani huko Washington , ambako kutakuwa na mazungumzo yatayochukua angalau wiki moja
Taarifa zaidi kuhusu ziara hii muhimu ya Mh Tundu Lissu ambaye pia ni Mwanasheria wa Chadema itaendelea kuboreshwa kwa kadri tunavyoletewa habari za ziara yake kwenye nchi mbalimbali.
Mungu mbariki mtumishi wako Tundu Lissu
UPDATES
...................
1.BBC : HARD TALK , Tayari
2.DW , Tayari
3.USA , Ndio habari inayobamba
4................
Kaeni mkao wa kula .