Volatility
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 3,920
- 7,469
Marais wetu bora wote walipata kuwa na Exposure ya Kimataifa.
Huyu wa sasa anazingua sababu hata kizungu hajui.
Huyu wa sasa anazingua sababu hata kizungu hajui.
Lissu ni mpuuzi tu. Hiyo ni kete yake ya kisaka kuwa mkimbizi wa kimataifa. Mkiona siku lissu kakanyaga hapa Tanzania mnipige mawe. Haridi tena huyo ndio kashanogewa na mi..... ya wazunguTulia wewe sikiza wew wazalendo tupo wa taifa letu sio huyo mchumia tumbo unawajua whites au unawasikia wameshujua udhaifu wa lisu wanampandikiza hapa tz kashindwa hakuna wajinga kama wew wanaomshabikia lisu
Tulia wewe sikiza wew wazalendo tupo wa taifa letu sio huyo mchumia tumbo unawajua whites au unawasikia wameshujua udhaifu wa lisu wanampandikiza hapa tz kashindwa hakuna wajinga kama wew wanaomshabikia lisu
Even your demigod?
Bila shaka utakua mvaa sendozi weweLissu ni mpuuzi tu. Hiyo ni kete yake ya kisaka kuwa mkimbizi wa kimataifa. Mkiona siku lissu kakanyaga hapa Tanzania mnipige mawe. Haridi tena huyo ndio kashanogewa na mi..... ya wazungu
Ngoja elfu 2020 tuwaoneshe kuwa sisi hatuendeshewi nchi yetu na mabeberu hata kama hawapendi uongozi uliopo madarakani lakini kushirikiana. na maadui wa uchumi wetu ni jambo la aibu.Kiti cha mbele kabisa, nikiwa tayari kuwasikiliza maagent wa mabeberu jinsi watakavyosifia uzi huu wa kijinga na kipumbavu.
Kwani akihojiwa na BBC na EU sijui ujinga gani, inatuhusu nini sisi? Shameful
wewe huutaki urais?Lissu ni mpuuzi tu. Hiyo ni kete yake ya kisaka kuwa mkimbizi wa kimataifa. Mkiona siku lissu kakanyaga hapa Tanzania mnipige mawe. Haridi tena huyo ndio kashanogewa na mi..... ya wazungu
utagombea?Ngoja elfu 2020 tuwaoneshe kuwa sisi hatuendeshewi nchi yetu na mabeberu hata kama hawapendi uongozi uliopo madarakani lakini kushirikiana. na maadui wa uchumi wetu ni jambo la aibu.
Mid next year. Nchi haitatawalika from that day again mpaka uchaguzi utakapowadia na kumuondoa jiwe akajifiche rwandaBongo anarudi lin
Hizi habari zitamwongezea magu frustration,Tundu Lissu ambaye ripoti za kuaminika zinaonyesha kwamba ndiye Mwanasheria bora kabisa kuwahi kuwepo kwenye eneo la Maziwa Makuu tangu kuumbwa kwa mbingu na ardhi , ataanza ziara ndefu ya kimkakati kwenye nchi za Ulaya na Marekani ili kuieleza dunia kilichotokea kwenye shambulio lake , wahusika wote na waliowatuma kutenda uovu ule na hali ya kisiasa ilivyo nchini Tanzania kuanzia muda huo hadi sasa
Hii ndio ratiba ya ziara yenyewe :
.......... .. .......................................
Kuanzia January 14 amealikwa na Shirika la utangazaji la BBC mjini Brussels ambapo pamoja na kuongea na BBC pia imeelezwa kwamba amepata mwaliko mwingine wa kuonana na viongozi wa juu kabisa wa jumuiya ya Ulaya ( EU )
Baada ya kumaliza hili taarifa zinaonyesha kwamba amepewa mwaliko mwingine wa kuonana na maofisa wa ngazi ya juu kabisa wa serikali ya Marekani huko Washington , ambako kutakuwa na mazungumzo yatayochukua angalau wiki moja
Taarifa zaidi kuhusu ziara hii muhimu ya Mh Tundu Lissu ambaye pia ni Mwanasheria wa Chadema itaendelea kuboreshwa kwa kadri tunavyoletewa habari za ziara yake kwenye nchi mbalimbali.
Mungu mbariki mtumishi wako Tundu Lissu
mkuu umenogeshaTundu Lissu ambaye ripoti za kuaminika zinaonyesha kwamba ndiye Mwanasheria bora kabisa kuwahi kuwepo kwenye eneo la Maziwa Makuu tangu kuumbwa kwa mbingu na ardhi , ataanza ziara ndefu ya kimkakati kwenye nchi za Ulaya na Marekani ili kuieleza dunia kilichotokea kwenye shambulio lake , wahusika wote na waliowatuma kutenda uovu ule na hali ya kisiasa ilivyo nchini Tanzania kuanzia muda huo hadi sasa
Hii ndio ratiba ya ziara yenyewe :
.......... .. .......................................
Kuanzia January 14 amealikwa na Shirika la utangazaji la BBC mjini Brussels ambapo pamoja na kuongea na BBC pia imeelezwa kwamba amepata mwaliko mwingine wa kuonana na viongozi wa juu kabisa wa jumuiya ya Ulaya ( EU )
Baada ya kumaliza hili taarifa zinaonyesha kwamba amepewa mwaliko mwingine wa kuonana na maofisa wa ngazi ya juu kabisa wa serikali ya Marekani huko Washington , ambako kutakuwa na mazungumzo yatayochukua angalau wiki moja
Taarifa zaidi kuhusu ziara hii muhimu ya Mh Tundu Lissu ambaye pia ni Mwanasheria wa Chadema itaendelea kuboreshwa kwa kadri tunavyoletewa habari za ziara yake kwenye nchi mbalimbali.
Mungu mbariki mtumishi wako Tundu Lissu
Mtasababisha jiwe afe kwa presha.Tundu Lissu ambaye ripoti za kuaminika zinaonyesha kwamba ndiye Mwanasheria bora kabisa kuwahi kuwepo kwenye eneo la Maziwa Makuu tangu kuumbwa kwa mbingu na ardhi , ataanza ziara ndefu ya kimkakati kwenye nchi za Ulaya na Marekani ili kuieleza dunia kilichotokea kwenye shambulio lake , wahusika wote na waliowatuma kutenda uovu ule na hali ya kisiasa ilivyo nchini Tanzania kuanzia muda huo hadi sasa
Hii ndio ratiba ya ziara yenyewe :
.......... .. .......................................
Kuanzia January 14 amealikwa na Shirika la utangazaji la BBC mjini Brussels ambapo pamoja na kuongea na BBC pia imeelezwa kwamba amepata mwaliko mwingine wa kuonana na viongozi wa juu kabisa wa jumuiya ya Ulaya ( EU )
Baada ya kumaliza hili taarifa zinaonyesha kwamba amepewa mwaliko mwingine wa kuonana na maofisa wa ngazi ya juu kabisa wa serikali ya Marekani huko Washington , ambako kutakuwa na mazungumzo yatayochukua angalau wiki moja
Taarifa zaidi kuhusu ziara hii muhimu ya Mh Tundu Lissu ambaye pia ni Mwanasheria wa Chadema itaendelea kuboreshwa kwa kadri tunavyoletewa habari za ziara yake kwenye nchi mbalimbali.
Mungu mbariki mtumishi wako Tundu Lissu
Box la kura mzeeutagombea?
Poa. Jiwe anaondoka mazee mziki wa Membe tu Jiwe njeeeeeeeeeBox la kura mzee
Unajua ya kuwa ndiyo wanaochangia kwa sehemu Kubwa bajeti ya nchi?Ngoja elfu 2020 tuwaoneshe kuwa sisi hatuendeshewi nchi yetu na mabeberu hata kama hawapendi uongozi uliopo madarakani lakini kushirikiana. na maadui wa uchumi wetu ni jambo la aibu.
Kwa hapo ndipo nakosana na lissu.
kuzurula Nchi za ulaya na America kuna faida Gani na anaenda kupata nini?!
Maana Nchi za ulaya zinatabia ya kuweka mapandikiz yao kwa interest zao.
Lissu/CDM Isije kujiingiza kwenye mtego wa EU&USA .