Ziara ya Mwenezi ilivyommaliza Mwenezi na kuibua mapya

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,634
697,845
Kuna nguvu huamua hatima yetu.. Kuna nguvu hutuandalia matokeo tusiyopanga wala tusiyoyataka

Kwa waamini wa kiimani nguvu hiyo huuita Mungu au miungu na kwa wasio waamini nguvu hiyo huuita Asili

Kwamba Mungu, miungu ama Asili ndio vimebeba hatima yetu..! Iwe hasi ama iwe chanya

Ukipanga jambo na likatimia kwa usahihi na kwa matarajio yake basi tambua ya kwamba jambo hilo ni baraka na kibali cha hizo nguvu tatu kulingana na imani ya mhusika!

Ukipanga jambo na likaenda kinyume na matarajio yako ama likakengeuka kwenye matokeo basi tambua jambo hilo halina kibali na badala na hizi nguvu husika

Unaweza ukalazimisha kwa kila namna jambo lako lifanyike na likafanyika lakini kwenye matokeo hali ikawa tofauti kabisa na matarajio.. Hapo tambua asili imekukataa

Waswaheli wanasema acha inyeshe ili panapovuja paonekane.. Kuna wakati Asili hutushurutisha kufanya mambo ili mengine yatokee.. Waamini huita unabii

Ziara ya Mwenezi kuizunguka Tanganyika kwa misafara mirefu ya magari ya serikali kwa gharama za mlipa kodi fukara ilitikisa vilivyo kutokana na style ya ziara yenyewe
Ikitarajiwa iwe ziara ya kukijenga chama, ikageuka ziara ya kukiangamiza chama, kutokana na matendo ya Mwenezi kila alikopita

Msafara uliokuwa na magari yasiyopungua 30 na watendaji na maofisa wa wizara mbalimbali serikalini, ulilitia taifa hasara kubwa kutokana na
Gharama za mafuta
Gharama za vipuri
Gharama za chakula na malazi
Gharama za posho kwa kila aliyehusika kwenye msafara
Gharama za matibabu na dharura nyinginezo nyingi
Gharama za muda na uchakavu wa magari nknk

Watendaji na maofisa wa serikali walioitwa mbele ya pilato Mwenezi walinyanyasika vilivyo mbele ya kadamnasi ya wananchi
Watendaji na maofisa wa serikali waliokuwa kwenye ziara ya Mwenezi ukiuliza walikuwa na majukumu gani huwezi kuambiwa

Kuelekea mwishoni mwa ziara iliyopambwa vilivyo na mamluki na chawa wa Mwenezi .. Asili ikaamua kuchukua hatamu.. Kuna jambo kubwa baya likatokea! Msafara ukapata ajali, iliyosababisha majeruhi na uharibifu mkubwa wa magari yasiyopungua 10

Ajali hii ilibadili mazima turufu ya ziara.. Kila kitu kiliishia pale.. Kilichokuwa kimetarajiwa kuhitimisha kama ziara ya mafanikio makubwa.. Kikawa ni kaburi la mwenezi na ziara yake

Ajali haikuwa mwisho bali mwanzo wa mengine yatakayomtesa mwenezi na chama chake kwa muda mrefu ujao..
Magari yaliyoharibika kwenye ajali yanahitajika kutengenezwa
Ili yapate kutengenezwa yanahitajika ripoti nzima ya ajali.. Mhusika kwenye hili ni mwenezi

Mwenezi kagoma kutoa ripoti anasema alitumwa na chama! Chama kiko kimya.. Mbaya zaidi watendaji na maofisa wa serikali waliokuwa kwenye ziara wanatakiwa kujieleza ilikuwaje wakawa kwenye ziara husika na kwa ruhusa ya nani.. Hakuna mwenye majibu yanayotosheleza

Iliyoyarajiwa kuwa ziara ya kukiimarisha chama kimegeuka na kuwa zimwi litishalo kwa mwenezi na chama chake...!!!

Asili huwa haipangiwi... !!!!
 
Ajali haikuwa mwisho bali mwanzo wa mengine yatakayomtesa mwenezi na chama chake kwa muda mrefu ujao..
Magari yaliyoharibika kwenye ajali yanahitajika kutengenezwa
Ili yapate kutengenezwa yanahitajika ripoti nzima ya ajali.. Mhusika kwenye hili ni mwenezi
💥💥💥💥💥💥💥
 
Mama alitaka kumtumia mwenezi kwenye kampeni ambazo yeye Hana kipaji hicho na kweli jina la mama likawa linatamkwa na mwenezi!!

Baadae mwenezi akaanza kuwa kama Rais na sio mwenezi Tena kiutendaji!!

Wahafidhina wakaona mbona anataka kuturudisha kule kuchungu Kwa mzilankende muyango!!?wakati sisi tulikua tunalamba asali huku tukicheka Sasa tuna wasiwasi!!?

Sijui wahafidhina waliomba maombi au waliingia mzigoni haieleweki!!

Booom!!!Bomu wakalipua puuuuuh!!Mwenezi akaahamaki hii sio kawaida!!!

Nilishtuka pale mwenezi alipoikimbia maiki jukwaaani akaenda kwenye gari lake,Mimi kengele ya hatari ililia nikajiuliza "mbona anaogopa maiki!!?jukwaa!!?kulikoni!!?

Mitego ya elites ya walamba asali ni ngumu kuiepuka,!

Sasa hivi amebaki analalama TU eti "nchi imejaa dhulma,Sasa yeye SI ndio mwenezi!!?SI aseme mama ondoa huyu weka huyu huyu ana dhulma hii na ile!!

Na yeye kaingia kwenye kundi la malalamiko fc na sio" mtatuzi" cheo alichojipa pale kaburini chato alipoenda kuhiji na kuiga ya mwenda zake!!!
 
Mama alitaka kumtumia mwenezi kwenye kampeni ambazo yeye Hana kipaji hicho na kweli jima la mama likawa linatamkwa na mwenezi!!

Baadae mwenezi akaanza kuwa kama Rais na sio mwenezi Tena kiutendaji!!

Wahafidhina wakaona mbona anataka kuturudisha kule kuchungu Kwa mzilankende muyango!!?wakati sisi tulikua tunalamba asali huku tukicheka Sasa tuna wasiwasi!!?

Sijui wahafidhina waliomba maombi au waliingia mzigoni haieleweki!!

Booom!!!Bomu wakalipua puuuuuh!!Mwenezi akaahamaki hii sio kawaida!!!

Nilishtuka pale mwenezi alipoikimbia maiki jukwaaani akaenda kwenye gari lake,Mimi kengele ya hatari ililia nikajiuliza "mbona anaogopa maiki!!?jukwaa!!?kulikoni!!?

Mitego ya elites ya walamba asali ni ngumu kuiepuka,!

Sasa hivi amebaki analalama TU eti "nchi imejaa dhulma,Sasa yeye SI ndio mwenezi!!?SI aseme mama ondoa huyu weka huyu huyu ana dhulma hii na ile!!

Na yeye kaingia kwenye kundi la malalamiko na sio mtatuzi cheo alichojipa pale kaburini chato alipoenda kuhiji na kuiga ya mwenda zake!!!
Watu walikua wanasaka password wewe,,,Magu njia ile ile Konda boy njia ileile sema wakamkosa turubai likaenda kwingine
 
Kuna nguvu huamua hatima yetu.. Kuna nguvu hutuandalia matokeo tusiyopanga wala tusiyoyataka
Kwa waamini wa kiimani nguvu hiyo huuita Mungu au miungu na kwa wasio waamini nguvu hiyo huuita Asili

Kwamba Mungu, miungu ama Asili ndio vimebeba hatima yetu..! Iwe hasi ama iwe chanya
Ukipanga jambo na likatimia kwa usahihi na kwa matarajio yake basi tambua ya kwamba jambo hilo ni baraka na kibali cha hizo nguvu tatu kulingana na imani ya mhusika!
Ukipanga jambo na likaenda kinyume na matarajio yako ama likakengeuka kwenye matokeo basi tambua jambo hilo halina kibali na badala na hizi nguvu husika
Unaweza ukalazimisha kwa kila namna jambo lako lifanyike na likafanyika lakini kwenye matokeo hali ikawa tofauti kabisa na matarajio.. Hapo tambua asili imekukataa

Waswaheli wanasema acha inyeshe ili panapovuja paonekane.. Kuna wakati Asili hutushurutisha kufanya mambo ili mengine yatokee.. Waamini huita unabii

Ziara ya Mwenezi kuizunguka Tanganyika kwa misafara mirefu ya magari ya serikali kwa gharama za mlipa kodi fukara ilitikisa vilivyo kutokana na style ya ziara yenyewe
Ikitarajiwa iwe ziara ya kukijenga chama, ikageuka ziara ya kukiangamiza chama, kutokana na matendo ya Mwenezi kila alikopita

Msafara uliokuwa na magari yasiyopungua 30 na watendaji na maofisa wa wizara mbalimbali serikalini, ulilitia taifa hasara kubwa kutokana na
Gharama za mafuta
Gharama za vipuri
Gharama za chakula na malazi
Gharama za posho kwa kila aliyehusika kwenye msafara
Gharama za matibabu na dharura nyinginezo nyingi
Gharama za muda na uchakavu wa magari nknk

Watendaji na maofisa wa serikali walioitwa mbele ya pilato Mwenezi walinyanyasika vilivyo mbele ya kadamnasi ya wananchi
Watendaji na maofisa wa serikali waliokuwa kwenye ziara ya Mwenezi ukiuliza walikuwa na majukumu gani huwezi kuambiwa

Kuelekea mwishoni mwa ziara iliyopambwa vilivyo na mamluki na chawa wa Mwenezi .. Asili ikaamua kuchukua hatamu.. Kuna jambo kubwa baya likatokea! Msafara ukapata ajali, iliyosababisha majeruhi na uharibifu mkubwa wa magari yasiyopungua 10

Ajali hii ilibadili mazima turufu ya ziara.. Kila kitu kiliishia pale.. Kilichokuwa kimetarajiwa kuhitimisha kama ziara ya mafanikio makubwa.. Kikawa ni kaburi la mwenezi na ziara yake

Ajali haikuwa mwisho bali mwanzo wa mengine yatakayomtesa mwenezi na chama chake kwa muda mrefu ujao..
Magari yaliyoharibika kwenye ajali yanahitajika kutengenezwa
Ili yapate kutengenezwa yanahitajika ripoti nzima ya ajali.. Mhusika kwenye hili ni mwenezi

Mwenezi kagoma kutoa ripoti anasema alitumwa na chama! Chama kiko kimya.. Mbaya zaidi watendaji na maofisa wa serikali waliokuwa kwenye ziara wanatakiwa kujieleza ilikuwaje wakawa kwenye ziara husika na kwa ruhusa ya nani.. Hakuna mwenye majibu yanayotosheleza

Iliyoyarajiwa kuwa ziara ya kukiimarisha chama kimegeuka na kuwa zimwi litishalo kwa mwenezi na chama chake...!!!

Asili huwa haipangiwi... !!!!

Excellent observation
 
Kuna nguvu huamua hatima yetu.. Kuna nguvu hutuandalia matokeo tusiyopanga wala tusiyoyataka
Kwa waamini wa kiimani nguvu hiyo huuita Mungu au miungu na kwa wasio waamini nguvu hiyo huuita Asili

Kwamba Mungu, miungu ama Asili ndio vimebeba hatima yetu..! Iwe hasi ama iwe chanya
Ukipanga jambo na likatimia kwa usahihi na kwa matarajio yake basi tambua ya kwamba jambo hilo ni baraka na kibali cha hizo nguvu tatu kulingana na imani ya mhusika!
Ukipanga jambo na likaenda kinyume na matarajio yako ama likakengeuka kwenye matokeo basi tambua jambo hilo halina kibali na badala na hizi nguvu husika
Unaweza ukalazimisha kwa kila namna jambo lako lifanyike na likafanyika lakini kwenye matokeo hali ikawa tofauti kabisa na matarajio.. Hapo tambua asili imekukataa

Waswaheli wanasema acha inyeshe ili panapovuja paonekane.. Kuna wakati Asili hutushurutisha kufanya mambo ili mengine yatokee.. Waamini huita unabii

Ziara ya Mwenezi kuizunguka Tanganyika kwa misafara mirefu ya magari ya serikali kwa gharama za mlipa kodi fukara ilitikisa vilivyo kutokana na style ya ziara yenyewe
Ikitarajiwa iwe ziara ya kukijenga chama, ikageuka ziara ya kukiangamiza chama, kutokana na matendo ya Mwenezi kila alikopita

Msafara uliokuwa na magari yasiyopungua 30 na watendaji na maofisa wa wizara mbalimbali serikalini, ulilitia taifa hasara kubwa kutokana na
Gharama za mafuta
Gharama za vipuri
Gharama za chakula na malazi
Gharama za posho kwa kila aliyehusika kwenye msafara
Gharama za matibabu na dharura nyinginezo nyingi
Gharama za muda na uchakavu wa magari nknk

Watendaji na maofisa wa serikali walioitwa mbele ya pilato Mwenezi walinyanyasika vilivyo mbele ya kadamnasi ya wananchi
Watendaji na maofisa wa serikali waliokuwa kwenye ziara ya Mwenezi ukiuliza walikuwa na majukumu gani huwezi kuambiwa

Kuelekea mwishoni mwa ziara iliyopambwa vilivyo na mamluki na chawa wa Mwenezi .. Asili ikaamua kuchukua hatamu.. Kuna jambo kubwa baya likatokea! Msafara ukapata ajali, iliyosababisha majeruhi na uharibifu mkubwa wa magari yasiyopungua 10

Ajali hii ilibadili mazima turufu ya ziara.. Kila kitu kiliishia pale.. Kilichokuwa kimetarajiwa kuhitimisha kama ziara ya mafanikio makubwa.. Kikawa ni kaburi la mwenezi na ziara yake

Ajali haikuwa mwisho bali mwanzo wa mengine yatakayomtesa mwenezi na chama chake kwa muda mrefu ujao..
Magari yaliyoharibika kwenye ajali yanahitajika kutengenezwa
Ili yapate kutengenezwa yanahitajika ripoti nzima ya ajali.. Mhusika kwenye hili ni mwenezi

Mwenezi kagoma kutoa ripoti anasema alitumwa na chama! Chama kiko kimya.. Mbaya zaidi watendaji na maofisa wa serikali waliokuwa kwenye ziara wanatakiwa kujieleza ilikuwaje wakawa kwenye ziara husika na kwa ruhusa ya nani.. Hakuna mwenye majibu yanayotosheleza

Iliyoyarajiwa kuwa ziara ya kukiimarisha chama kimegeuka na kuwa zimwi litishalo kwa mwenezi na chama chake...!!!

Asili huwa haipangiwi... !!!!
Na v8 moja service yake siyo chini ya mil.150 pale Toyota TZ

Unajua v8 wewe?😂
 
Kuna nguvu huamua hatima yetu.. Kuna nguvu hutuandalia matokeo tusiyopanga wala tusiyoyataka
Kwa waamini wa kiimani nguvu hiyo huuita Mungu au miungu na kwa wasio waamini nguvu hiyo huuita Asili

Kwamba Mungu, miungu ama Asili ndio vimebeba hatima yetu..! Iwe hasi ama iwe chanya
Ukipanga jambo na likatimia kwa usahihi na kwa matarajio yake basi tambua ya kwamba jambo hilo ni baraka na kibali cha hizo nguvu tatu kulingana na imani ya mhusika!
Ukipanga jambo na likaenda kinyume na matarajio yako ama likakengeuka kwenye matokeo basi tambua jambo hilo halina kibali na badala na hizi nguvu husika
Unaweza ukalazimisha kwa kila namna jambo lako lifanyike na likafanyika lakini kwenye matokeo hali ikawa tofauti kabisa na matarajio.. Hapo tambua asili imekukataa

Waswaheli wanasema acha inyeshe ili panapovuja paonekane.. Kuna wakati Asili hutushurutisha kufanya mambo ili mengine yatokee.. Waamini huita unabii

Ziara ya Mwenezi kuizunguka Tanganyika kwa misafara mirefu ya magari ya serikali kwa gharama za mlipa kodi fukara ilitikisa vilivyo kutokana na style ya ziara yenyewe
Ikitarajiwa iwe ziara ya kukijenga chama, ikageuka ziara ya kukiangamiza chama, kutokana na matendo ya Mwenezi kila alikopita

Msafara uliokuwa na magari yasiyopungua 30 na watendaji na maofisa wa wizara mbalimbali serikalini, ulilitia taifa hasara kubwa kutokana na
Gharama za mafuta
Gharama za vipuri
Gharama za chakula na malazi
Gharama za posho kwa kila aliyehusika kwenye msafara
Gharama za matibabu na dharura nyinginezo nyingi
Gharama za muda na uchakavu wa magari nknk

Watendaji na maofisa wa serikali walioitwa mbele ya pilato Mwenezi walinyanyasika vilivyo mbele ya kadamnasi ya wananchi
Watendaji na maofisa wa serikali waliokuwa kwenye ziara ya Mwenezi ukiuliza walikuwa na majukumu gani huwezi kuambiwa

Kuelekea mwishoni mwa ziara iliyopambwa vilivyo na mamluki na chawa wa Mwenezi .. Asili ikaamua kuchukua hatamu.. Kuna jambo kubwa baya likatokea! Msafara ukapata ajali, iliyosababisha majeruhi na uharibifu mkubwa wa magari yasiyopungua 10

Ajali hii ilibadili mazima turufu ya ziara.. Kila kitu kiliishia pale.. Kilichokuwa kimetarajiwa kuhitimisha kama ziara ya mafanikio makubwa.. Kikawa ni kaburi la mwenezi na ziara yake

Ajali haikuwa mwisho bali mwanzo wa mengine yatakayomtesa mwenezi na chama chake kwa muda mrefu ujao..
Magari yaliyoharibika kwenye ajali yanahitajika kutengenezwa
Ili yapate kutengenezwa yanahitajika ripoti nzima ya ajali.. Mhusika kwenye hili ni mwenezi

Mwenezi kagoma kutoa ripoti anasema alitumwa na chama! Chama kiko kimya.. Mbaya zaidi watendaji na maofisa wa serikali waliokuwa kwenye ziara wanatakiwa kujieleza ilikuwaje wakawa kwenye ziara husika na kwa ruhusa ya nani.. Hakuna mwenye majibu yanayotosheleza

Iliyoyarajiwa kuwa ziara ya kukiimarisha chama kimegeuka na kuwa zimwi litishalo kwa mwenezi na chama chake...!!!

Asili huwa haipangiwi... !!!!
kwa wenye bidii na nia ya kusonga mbele zaidi, changamoto huzifanya kua fursa ya kua makini zaidi na kwa umahiri mkubwa kuongeza maarifa zaidi na kuyatekeleza kwa kasi mpya, ari mpya na nguvu zaidi 🐒

setbacks zinabaki kua stori na furahisha genge tu 🐒

Mwenyezi Mungu ni wa kila mtu, ndio maana tupo kama hivi yaani sio, kwasabb ya mtu. Kwa baraka na Neema zake, Binadamu apanga mipango yake, nae Mungu atupangia atakavyo yeye, sawa sawa na haki na Mapenzi yake kwa kila mja wake....
 
Mama alitaka kumtumia mwenezi kwenye kampeni ambazo yeye Hana kipaji hicho na kweli jima la mama likawa linatamkwa na mwenezi!!

Baadae mwenezi akaanza kuwa kama Rais na sio mwenezi Tena kiutendaji!!

Wahafidhina wakaona mbona anataka kuturudisha kule kuchungu Kwa mzilankende muyango!!?wakati sisi tulikua tunalamba asali huku tukicheka Sasa tuna wasiwasi!!?

Sijui wahafidhina waliomba maombi au waliingia mzigoni haieleweki!!

Booom!!!Bomu wakalipua puuuuuh!!Mwenezi akaahamaki hii sio kawaida!!!

Nilishtuka pale mwenezi alipoikimbia maiki jukwaaani akaenda kwenye gari lake,Mimi kengele ya hatari ililia nikajiuliza "mbona anaogopa maiki!!?jukwaa!!?kulikoni!!?

Mitego ya elites ya walamba asali ni ngumu kuiepuka,!

Sasa hivi amebaki analalama TU eti "nchi imejaa dhulma,Sasa yeye SI ndio mwenezi!!?SI aseme mama ondoa huyu weka huyu huyu ana dhulma hii na ile!!

Na yeye kaingia kwenye kundi la malalamiko na sio mtatuzi cheo alichojipa pale kaburini chato alipoenda kuhiji na kuiga ya mwenda zake!!!
Na yeye kaingia kwenye kundi la malalamiko na sio mtatuzi cheo alichojipa pale kaburini chato alipoenda kuhiji na kuiga ya mwenda zake!!!
 
kwa wenye bidii na nia ya kusonga mbele zaidi, changamoto huzifanya kua fursa ya kua makini zaidi na kwa umahiri mkubwa kuongeza maarifa zaidi na kuyatekeleza kwa kasi mpya, ari mpya na nguvu zaidi

setbacks zinabaki kua stori na furahisha genge tu

Mwenyezi Mungu ni wa kila mtu, ndio maana tupo kama hivi yaani sio, kwasabb ya mtu. Kwa baraka na Neema zake, Binadamu apanga mipango yake, nae Mungu atupangia atakavyo yeye, sawa sawa na haki na Mapenzi yake kwa kila mja wake....
Asili hupanga huchagua... Haipangiwi.. Haichaguliwi...!!!!

 
Back
Top Bottom