Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,302
- 96,520
Ewaaaa... wewe umesema ukweli. Ila pia umesahau kipengele kimoja kuwa... mwenye mzigo pia ana uwezo wa kuamua mzigo wake akauchukulie wapi.Mkuu kuwa mkweli,
kwenye mkataba wa TPA na ICD kuna kipengele ki nasema kuwa, mizigo itapelekwa IDC ikiwa tu eneo la kuhifadhia mizigo hiyo au Containers ndani ya Bandari litakuwa limejaa.
Sasa ICD nyingi zikawa zina mtandao wao hapo bandarini ambapo mizigo ikifika tu hata kama ndani ya Bandari bado kuna nafasi ya kuhifadhi mizigo ilikuwa inapelekwa ICD hivyo kuikosesha TPA mapato yake na wakati mwingine ICD zilikuwa zinawacheleweshea wateja wao mizigo yao kwa makusudi ili waweze kupata mapato.
kwa hatua hii, naishukuru sana serikali kwa hatua hii.
Lengo kuu ni kuondoa janjajanja ya ICDs kupiga deal na shipping lines ili mizigo yao iende ICDs wapige deal...
Na haya ndio yaliyokuwa yanapaswa kufanyika tangu kuanzishwa kwake, sema wajanja walifanya mambo yao juu kwa juu.
Hii ni hatua nzuri, kama utekelezaji utafanyika kwa uaminifu.